Mfungwa akutwa uraiani na SMG

Mfungwa akutwa uraiani na SMG

Maisha ya askari ''Mimi kinachonisikitisha zaidi ni jinsi baadhi ya watu wanavyohatarisha usalama kwa kuwaachia huru wahalifu sugu na hatari kama huyo. Wakati sisi polisi hatulali na tunauza roho zetu kupambana na uhalifu hasa wa kutumia silaha nzito kama hizo, baadhi ya watu wanakwamisha jitihada zetu kwa kuwaachia huru wahalifu hao katika mazingira ya kutatanisha. "Lakini hili la safari hii hatutalifumbia macho mpaka wale wote walioshirikiana naye wabainike na kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria, mimi nimekula kiapo sintakubali kurudi nyuma.'' alionya.

Rejea hayo maandishi mekundu.
Nikisema kwamba wao ndio wanashirikiana nao, ila kwakua imegundilika ndo maana wanajidai kula kiapo kwamba hawatakubali kurudi nyuma, NITAKUA NASEMA UWONGO???
 
Kama alifungwa mwaka 2000, basi kwa kanuni za mahesabu za magereza ameshamalisha kifungo huyo
 
kumbe na wasukuma wamo kwenye ujambazi? mi nilijua ni wakurya na wachaga ndio fani yao
Mkuu kwa niaba ya Hilo kabila naomba tuheshimiane.
Wewe ujambazi unaomfanyia mumeo/mkeo huuoni!!?? Hata hiyo ngono Jambazi unayofanya ni ujambazi tu..sio lazima ushike silaha. Tontorobheti.
 
Wana JF lile sakata la Mfungwa Aliehukumiwa Miaka 15 akutwa Uraiani na SMG zikiwa risasi kibao,limeingia hatua nyingine baada ya polisi na magereza kutofautiana kauli....vichwa vya habari vya magazeti ya leo!!hili sakata litatoka na watu...ngoja tusubiri
 
Back
Top Bottom