Mfunze Mwanao kujiajiri, mwambie maisha hayaanzi akiajiriwa, wasomi wakiwa wengi ajira zinakuwa chache

We jamaa tuache kudanganya hapa JF! Sema kweli mimi nimebahatika kupata Elimu japo sijamaliza na katika masomo yangu nilibahatika kujaribu mambo mbali mbali. Isitoshe mimi katika mambo ya IT nipo vzr sana hasa katika upande wa sim japo sijasomea hayo mambo!

Kilinisaidia sana ni kutumia smartphone toka nipo kidato cha pilo nikawa nasoma sana mtandaoni. Ukweli n kwamba mtandaoni kuna vitu vingi sana na vyema faida. Lakini ili uvipate hivi vitu lazima uwe vzr mfukoni na kiakili pia. Hivi vitu vinahitaji device kama smartphone, laptop au desktop kaka usidanganye Watanzani.

Na nimekuja kuiva sana katika mambo hizi lipoenda chuoni nikasoma Course mbili zinazohusiana na mambo ya technology japo mimi n mwalimu kitaaluma. Ukisema Online shopping kwa Tanzania hata ile mifumo ya Malipo for Online Shopping hajawa sawa kama inavyotakiwa mkuu

Ukiangalia mifumo vingi inatakiwa ukamilishe malipo ndani ya saa 1 toka ku-order bidhaa. Na hii nina ushahidi mwanzani mwa mwaka huu nilipita mtandao fulan hivi nikaona kuna bidhaa kama frash na memory card zilikuwa zinauzwa kwa bei rahisi sana mtandaoni nikaoda bana baada ya kupokea namba malipo nigaingia zangu M-pesa nikafanya malipo. Baada ya kumaliza sms ya muamala haikuja mpaka kesho yake kucheki bidhaa haijalipiwa. Afu sikupata msaada.

Kwahiyo msiwe mnakuja kutupa mambo ya uongo hapa kaka kuna mengine tumeishayafanya. Mpaka tukaamua kurudi kupambana kwa shughuli za kawaida tu. Ila sikatai kuwa fursa hazipo zipo nyingi tu lkn n ambao tayari wana mtaji wa kutoshaa.
 
Kingine n kwamba huwa sipendi hata kuhurumiwa man lkn naongea ukweli mimi huwa nina kauli nasema kuwa hatima ya maisha yangu ninayo mimi mwenyewe
 
Jina lako linafurahisha.
 
Kingine n kwamba huwa sipendi hata kuhurumiwa man lkn naongea ukweli mimi huwa nina kauli nasema kuwa hatima ya maisha yangu ninayo mimi mwenyewe

Good, kama umeshang'amua kuwa hatima ya maisha yako ni ww mwenyewe basi umeshashinda nusu ya vita, pambana mkuu....maisha ni vita, ni kufa au kuolewa, so you have to choose ufe uende peponi au uolewe ulale bila chupi. Hata mm binafsi nimepita huko, nishadharaurika sana, nishatukanwa sana, nishakopa sana na nishasota sana but thanks God naona mwanga...Dont give up, keep fighting, nothing impossible under the sun.
 
Yeah kwa ualimu ni mtihani...naona wengi wameegamia kwenye business na wamenyoosha life wamesahau vumbi la chaki.
Mbona mnajmix sana na huu uzi? Mara mseme biashara ni complex sana mara useme walimu wameegamia kwenye business wamenyoosha life .wapi tuamini Jamani
 
Mbona mnajmix sana na huu uzi? Mara mseme biashara ni complex sana mara useme walimu wameegamia kwenye business wamenyoosha life .wapi tuamini Jamani
Sio kila ajira ina neema!

Hilo tu linatosha kukuelekeza. Kama unaweza fanya biashara ya kukupa faida ya 40,000 constantly kwa siku 30 huwezi fananisha na ajira inayokupa constant 15,000 per day!

Chagua bega,
 
Sio kila ajira ina neema!

Hilo tu linatosha kukuelekeza. Kama unaweza fanya biashara ya kukupa faida ya 40,000 constantly kwa siku 30 huwezi fananisha na ajira inayokupa constant 15,000 per day!

Chagua bega,


Ahaa!...sawa!
 

Hebu tuongee mambo ya msingi,ukipata hicho kitengo nipe top 3 ya wanyama watatu utakaowaingiza barabarani chap chap.,hahah.
 
Hebu tuongee mambo ya msingi,ukipata hicho kitengo nipe top 3 ya wanyama watatu utakaowaingiza barabarani chap chap.,hahah.
Ndio akili ya vijana Wabongo, kwanini sio biashara atakazoanzisha?
 
Hebu tuongee mambo ya msingi,ukipata hicho kitengo nipe top 3 ya wanyama watatu utakaowaingiza barabarani chap chap.,hahah.
Bana we, hivi unajua kuna mashine moja ya mkorea inayotrend sokoni ya kuitwa "TELLURIDE"??? That would be a major alert to some whip owning fatcats, just letting them know i have just begun
[/QUOTE]
 
Mkuu hongera sana mm nina kadiploma kangu nimeishia hapohapo sitaki ujinga tangu nimesoma kitabu cha RICH DAD AND POOR DAD cha ROBERT KIYOSAKI nimeshangaa ulimwengu umebadilika kwa sasa nina NGO yangu ni mkulima,self taught programmer,nasaka madini,nina project ya kujenga nyumba kutumia container (on process) na pia nina business idea ya sunflower oil now nimashine ya kukamua mafuta naanda pesa ya kuvuta.
nilikuwa nacheki interview ya Aliko dangote na aljazeera kwa kweli Afrika bado kuna fursa kibao.
JIFUNZE KUTATUA MATATIZO PESA ZITAKUJA AUTOMATIC.
 
Mkuu inaonekana huelewi maana ya ujasiriamali hata tone.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…