Mfupa uliomshinda fisi

Hata mwanamke pia huwa hawajali ni hatar mno
 
Tena mwanamke ndo itokee kaachwa na mtu mwenye uwezo utasikia usinibabaishe una nini wewe nimeacha huko vitu kibao bora mwanaume ana staha muda fulani
Si avifate?
 
maveteran ni masponsor show kwa under 25
 
Ogopa sana mwanaume divorced
Hawana huruma
Sio kila Mzee ana busara!
Kaazi kwelikweli....... Kwa mawazo haya mtaendelea kuchezewaaaaaa weeeeeeeeeee nahamna lamaana mtakalopata.

Ivi nani anawambia mwanamme akiwa mzee/kakuzidi miaka/aliwah kua ndoan Basi amestaharabika yakwamba anabusara na hekima??? ...kumbe ndomaana watu wanaishia kuliwa ovyo nakubaki kulia lia ??

Uanamme wa mwanamme UPO KICHWANI MWAKE, na aina ya maisha anayokupa ..FULL STOP.


Pole lkn, muwe mnaacha Akili zifanye kazi nasio kuacha " Upweke na hamu ya" ndo vifanye kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…