mandingo 94
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 269
- 194
Mega Tonge kubwa la ugali, usilitoweze kwenye mchuzi, limeze zimazima. Kamwiba kakibaki basi katakuwa sio kamwiba ka samakiHàbar marafiki nipatwa na tatizo hapa Lina nikera Sana Yani kwenye Kana kamwimba kamenasa hakaumi Ila kananikera tu naombeni msaada jinsi ya kakatoa maana nishaingiza vidore ili nitapaki bado akatoke naombeni njia jinsi ya kukatoa
Katakua ni ka mwiba ka kukuMega Tonge kubwa la ugali, usilitoweze kwenye mchuzi, limeze zimazima. Kamwiba kakibaki basi katakuwa sio kamwiba ka samaki
Ndizi ilioiva meza bila kutafuna pia inasaidiaHàbar marafiki nipatwa na tatizo hapa Lina nikera Sana Yani kwenye Kana kamwimba kamenasa hakaumi Ila kananikera tu naombeni msaada jinsi ya kakatoa maana nishaingiza vidore ili nitapaki bado akatoke naombeni njia jinsi ya kukatoa
Jokorilo au ka DundrusiKatakua ni ka mwiba ka kuku
🤣🤣🤣🤣Yani ww hapana kwa kweli.Jokorilo au ka Dundrusi
Yaani , hayo yalikuwa ni majina ya vindege vidogo tuliwinda tukiwa watoto.🤣🤣🤣🤣Yani ww hapana kwa kweli.
Ngoja nifanye kaziMega Tonge kubwa la ugali, usilitoweze kwenye mchuzi, limeze zimazima. Kamwiba kakibaki basi katakuwa sio kamwiba ka samaki
SamakiKatakua ni ka mwiba ka kuku
Asate Sana ngoja nianze na ndiziNdizi ilioiva meza bila kutafuna pia inasaidia
Umeingiza vidole?
MhMwiba umeshatoka sema umechubuka kidogo hapo kooni so unapata fake response kutokana na athari ya hilo tukio, tulizana tu utazoea.
Nimeingiza vidole nimetapika Hadi nimechokaUmeingiza vidole?
Ndizi bila kutafuna 😃 utaua mtuNdizi ilioiva meza bila kutafuna pia inasaidia
Au sio kooni?.
Fuata nilichokwambia mkuu vinginevyo utateseka sana.Nimeingiza vidole nimetapika Hadi nimechoka
Nimetafuna ndizi 4 sas bado Hali teteNdizi bila kutafuna [emoji2] utaua mtu