raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Umetafuna tayari umeshaharibu doziNimetafuna ndizi 4 sas bado Hali tete
Kuna mdau kasema umeze bila kutafuna
Jf docs 😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetafuna tayari umeshaharibu doziNimetafuna ndizi 4 sas bado Hali tete
Pamoja sanaMimi lilinitokea hilo tatizo mwezi uliopita. Nilikuwa samaki bwana, kamwiba kadogo kakanasa kwenye koromeo. Kila nikiweka wali au ugali mkavu hautoki. Nilijifunza inawezekana ule mwiba ilinasa kwa kuangalia chini so ugali mkavu, mkate mkavu au chochote kigumu ukimeza kinapita tu juu yake.
Nikaona si tabu, nikauacha. Kweli ulikuwa kero kwani unachoma na kuwasha kwenye koromeo ila nikajikaza. Siku 2 tu ukaoza na kudondoka huko kwa huko. Mambo yakawa fresh tu. Relax bro, maumivu na kero itakaa siku 2 tu then kitaoza. Don't Panic mkuu.
Duuh ngoja nijaribu tuUmetafuna tayari umeshaharibu dozi
Kuna mdau kasema umeze bila kutafuna
Jf docs [emoji38]
Kumeza ndizi bila kutafuna 😃Duuh ngoja nijaribu tu
😂😂😂Itabidi tu ajikazeNdizi bila kutafuna 😃 utaua mtu
Sawa pole sana.Asate Sana ngoja nianze na ndizi
Duh pole sana aisehSamaki
🤣🤣🤣😘😘 Hicho ndo Kiswahil fasaha achana na hichi cha sasa ety nguna wanaita yugali.Yaani , hayo yalikuwa ni majina ya vindege vidogo tuliwinda tukiwa watoto.
Enzi hizo Kiswahili cha kwetu kilikuwa kama kizungu cha China.
Alizeti tuliita bangayeye
Jokorilo au ka Dundrusi
Ndiyo yeyeHivi huyu si ndio jokorilo?
![]()
Habari!HÃ bar marafiki nipatwa na tatizo hapa Lina nikera Sana Yani kwenye Kana kamwimba kamenasa hakaumi Ila kananikera tu naombeni msaada jinsi ya kakatoa maana nishaingiza vidore ili nitapaki bado akatoke naombeni njia jinsi ya kukatoa
Niko na Io shida kwa sasaMimi lilinitokea hilo tatizo mwezi uliopita. Nilikuwa samaki bwana, kamwiba kadogo kakanasa kwenye koromeo. Kila nikiweka wali au ugali mkavu hautoki. Nilijifunza inawezekana ule mwiba ilinasa kwa kuangalia chini so ugali mkavu, mkate mkavu au chochote kigumu ukimeza kinapita tu juu yake.
Nikaona si tabu, nikauacha. Kweli ulikuwa kero kwani unachoma na kuwasha kwenye koromeo ila nikajikaza. Siku 2 tu ukaoza na kudondoka huko kwa huko. Mambo yakawa fresh tu. Relax bro, maumivu na kero itakaa siku 2 tu then kitaoza. Don't Panic mkuu.