Mfupa wa samaki tatizo

Mfupa wa samaki tatizo

Mimi lilinitokea hilo tatizo mwezi uliopita. Nilikuwa samaki bwana, kamwiba kadogo kakanasa kwenye koromeo. Kila nikiweka wali au ugali mkavu hautoki. Nilijifunza inawezekana ule mwiba ilinasa kwa kuangalia chini so ugali mkavu, mkate mkavu au chochote kigumu ukimeza kinapita tu juu yake.

Nikaona si tabu, nikauacha. Kweli ulikuwa kero kwani unachoma na kuwasha kwenye koromeo ila nikajikaza. Siku 2 tu ukaoza na kudondoka huko kwa huko. Mambo yakawa fresh tu. Relax bro, maumivu na kero itakaa siku 2 tu then kitaoza. Don't Panic mkuu.
Pamoja sana
 
Mzee dawa ni ngumi ya koromeo tu hio ni tiba ya haraka sana yani, quick solution. Nitafute nikutie "GUMI LA ROHO" kama ushawahi isikia hio.
 
Mmh achana na kujiingiza vidole embu fuata utaalamu wa wabobezi hapo juu.
 
Jokorilo au ka Dundrusi

Hivi huyu si ndio jokorilo?
images
 
Hàbar marafiki nipatwa na tatizo hapa Lina nikera Sana Yani kwenye Kana kamwimba kamenasa hakaumi Ila kananikera tu naombeni msaada jinsi ya kakatoa maana nishaingiza vidore ili nitapaki bado akatoke naombeni njia jinsi ya kukatoa
Habari!

Inawezekana ikawa ni eneo lililokwaruza ndo linakusibu, kwani koo ni very sensitive hivyo unaendelea kuhisi uwepo wa kitu.

Ni vyema kumwona ENT ili aweze kukuanalia nini kinaendelea.

Hakuna haja ya kutumia vitu kama ndizi au ugali, kwa haujui mwelekeo wa kitu husika kama kipo na unaweza kukishindilia zaidi kwenye ukuta wa njia ya chakula na kufanya zoezi la kukitafuta kuwa gumu zaidi au kuumia zaidi.
 
Mimi lilinitokea hilo tatizo mwezi uliopita. Nilikuwa samaki bwana, kamwiba kadogo kakanasa kwenye koromeo. Kila nikiweka wali au ugali mkavu hautoki. Nilijifunza inawezekana ule mwiba ilinasa kwa kuangalia chini so ugali mkavu, mkate mkavu au chochote kigumu ukimeza kinapita tu juu yake.

Nikaona si tabu, nikauacha. Kweli ulikuwa kero kwani unachoma na kuwasha kwenye koromeo ila nikajikaza. Siku 2 tu ukaoza na kudondoka huko kwa huko. Mambo yakawa fresh tu. Relax bro, maumivu na kero itakaa siku 2 tu then kitaoza. Don't Panic mkuu.
Niko na Io shida kwa sasa
 
Back
Top Bottom