Mgahawa wa akina Joti gumzo Sabasaba!

Ninachowapendea OK ni hawana skendo sana kama wale kina fulani wa BET na MTV
 

Polee sana
 
wakiwa series wanaweza kuwa kama Mc donald na kujiingizia kipato hebu fikiria wakianzisha mgahawa na kuupa jina la Ok Restaurant alafu baada ya miaka kadhaa wakaenda mikoani kufungua migahawa kama hiyo si watakuwa mamilionea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…