Mgambo wa polisikulipwa hela ya kukamata mtuhumiwa ni halali?

Mgambo wa polisikulipwa hela ya kukamata mtuhumiwa ni halali?

cheguevara

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2012
Posts
1,348
Reaction score
652
Habari wadau!
Kuna hii tabia ya raia anapokwenda kutoa taarifa kituo cha polisi huambiwa atoe 10,000 ya mgambo kwenda kumkamata mtuhumiwa wako je hii ni halali na sababu ya kuwepo mgambo vituo vya polisi ni uchache wa polisi au uboreshaji?

kwanini iwe hivyo inamaana kwa ambao hawana hiyo hela hawatapata huduma?
Rais alishasema dai stakabadhi je mgambo wanapolipwa hii pesa wanatoa stakabadhi?

Naleta kwenu
 
Ela ya brashi iyo joh!toa ela iyo,acha ubaili.
 
Back
Top Bottom