Mgambo wavamia Majumbani Kimara Mavurunza na Kutishia,Kukamata watu na Kuomba Rushwa

Mgambo wavamia Majumbani Kimara Mavurunza na Kutishia,Kukamata watu na Kuomba Rushwa

Ila wanachokifanya ni kitu hatari Kwa usalama wao na Raia pia maana wanatumia nguvu nyingi na ubabe kuliko akili,nashauri mamlaka zinazohusika na Hawa migambo zione namna nzuri ya kuwatumia kwa uzuri sio kuwatuma wenyewe TU. Kwanza migambo wananjaa sana, wanaomba rushwa bila aibu, wanaweza wakaanzia elf 50 ila ukiwambia una elf 5 wanachukua.

ni karibu kila mahali dar kwny serikali ya mtaa jambo hilo linafanyika, , mgambo wanakuwa wengi na polisi mwny uniform mmoja au wawili na viongozi wa mtaa...
 
Hivi unakamatwaje na mgambo, Kuna siku nilikuwa nyumbani wakaja mgambo eti wanamuomba mama pesa ya madawati (mama ana miaka zaidi 65) niliwatoa nduki yaani walipoteana.
 
Hata wakiwa 10, unaweza jikuta unamla mtu shaba ya makalio hivi hivi. Kama hela ngumu waje villa huku tulime.
Wana masihara hao jamaa unakata ndoo wa kwanza wa pili na wa tatu wote wanaufyata😅
 
Back
Top Bottom