Mgambo wavamia Majumbani Kimara Mavurunza na Kutishia,Kukamata watu na Kuomba Rushwa


ni karibu kila mahali dar kwny serikali ya mtaa jambo hilo linafanyika, , mgambo wanakuwa wengi na polisi mwny uniform mmoja au wawili na viongozi wa mtaa...
 
Hivi unakamatwaje na mgambo, Kuna siku nilikuwa nyumbani wakaja mgambo eti wanamuomba mama pesa ya madawati (mama ana miaka zaidi 65) niliwatoa nduki yaani walipoteana.
 
Hata wakiwa 10, unaweza jikuta unamla mtu shaba ya makalio hivi hivi. Kama hela ngumu waje villa huku tulime.
Wana masihara hao jamaa unakata ndoo wa kwanza wa pili na wa tatu wote wanaufyata😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…