Mganga alimwambia akinywa pombe atakufa

Mganga alimwambia akinywa pombe atakufa

Ninayo mzee, nakusanya Mali kale
Chukua na Hiyoo mkuuView attachment 1646179
IMG_20201210_151453.jpg
 
Umenikumbusha mbali sana.
Nilitumwa dukani (umoja wa akina mama) kuandikisha mahitaji na kulipia ili bidhaa zitakapo letwa dukani inakuwa ni kusimama foleni na kuchukua. Sijafika mbali nikaona kipira kimenoga, ngwala nyingi na ngumi za papo kwa papo, si na mimi nikaunga game...
Sauti yangu kali ikamshtua maza, ile kumuona ndio nakumbuka nilitumwa kama masaa mawili yaliyo pita, hela sina na sijui niliidondoshaje kwenye majani! Kilicho fuata hapo sasa... R.i.p. mama yangu, R.i.p Ankoo (sikumpenda tena) wangu mbabe.
 
MWENYE RUPIA ZIFUATAZO: FUFUMARK, RUPIA YA SIMBA WAWILI, RUPIA YA KITUMBUA , RUPIA NYEKUNDU , DINALI YA JICHO... NA MWENYE VITU VIFUATAVYO: MAJI MEKUNDU AU MEUSI (MERCURY) , MWENYE PASI , JIKO , CHEMLI , KIKOMBE , KUFULI NA VIFAA VYA MATUMIZ YA MAJUMBAN.. TAJIRI YUPO NA BIASHARA INAFANYIKA DAR ES SALAAM KWA UHAKIKA NA UFANISI WA HALI YA JUU, MATAPELI TAFADHALINI MKAE MBALI NA HILI HATUNA MUDA WA KUPOTEZA CONTACT 0716637717, 0785510604 AU 0769767771
 
Back
Top Bottom