Mganga hajigangi

Mganga hajigangi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
1418467157225.jpg
 
Huyu jamaa samahani mkuu samahani sana mkuu atakuwa ametoka kama sio kilaweni itakuwa ni Kiriche maana anaona akitoa pea moja kuvaa atakosa pesa
 
Huyu jamaa samahani mkuu samahani sana mkuu atakuwa ametoka kama sio kilaweni itakuwa ni Kiriche maana anaona akitoa pea moja kuvaa atakosa pesa

Hahahahaaa una maskhara kwenye utani eeh
 
aiseeee
wachagga wabahiri mweee
 
huyu ni mkibosho january lazima afungue duka la viatu
 
Na wewe umejiweka kundi gani? Tena mapigo yenu kabisa haya maana ninyi hata kujipenda ni sifuri

sista mimi wa kule ila sio wa wa kule namaanisha sina tabia zao hasa za wale wa kariakoo....!!
 
Back
Top Bottom