Kheri za sikukuu wandugu.
Nina mzee wangu ana tatizo la kuwashwa sehemu zake za siri kwa ndani na kupata maumivu makali,tumekwenda kwa baadhi ya hospitali hapa DSM bil amafanikio,je kuna mtu anayefahamu hospitali au na jina la dr.mtaalamu kwa magonjwa ya kiume kama hayo hapo?naomba ani PM au rakeyescarl@yahoo.ie
Niko tayari hata kama ni hospitali ya kulipia na hiyo email ni .ie si .com
Natanguliza shukurani.
Nina mzee wangu ana tatizo la kuwashwa sehemu zake za siri kwa ndani na kupata maumivu makali,tumekwenda kwa baadhi ya hospitali hapa DSM bil amafanikio,je kuna mtu anayefahamu hospitali au na jina la dr.mtaalamu kwa magonjwa ya kiume kama hayo hapo?naomba ani PM au rakeyescarl@yahoo.ie
Niko tayari hata kama ni hospitali ya kulipia na hiyo email ni .ie si .com
Natanguliza shukurani.