Squidward
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 7,828
- 9,546
Hivi yule mganga wa diamond aliishia wapi jameni? naye ni celebrity ujue, tangu siku ile naona kimya no updates kwenye magazeti pendwa hata radios.Mwenye taarifa/updates zake atujuze nmemkumbuka ghafla maana alitikisa balaa kwene vichwa va habari mara ya mwisho nlimuona kene hotmix ya eatv