pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Naona munabalanceš¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku magereza twaita chuo cha mafunzo yaheeh
Mganga wa kienyeji hudhibitiwa na mganga mwenzie aliye na nguvu kuliko yeye, hao maticha wa chuo cha mafunzo hawawezi ipo siku wataona malue lue kisha mganga atarudi zake Maskani kuendelea na uganga wakeMganga huyu ni gwiji wa kuwatoa watu walioko mahabusu na pia wafungwa. Ni dhahiri atahakikisha anatoka huko ndani bila wasiwasi.
Tuwaombe Chuo cha Mafunzo wamwekee ulinzi wa hali ya juu kuhakikisha anamaliza mvua zote 30 akiwa lupango kama alivyohukumiwa.
Yani nilifikiri ni chuo fulani ambacho atakua anafanya usafi kwa miaka 30. Kumbe ndichi.Huku magereza twaita chuo cha mafunzo yaheeh
Hahahaaaa........wakifanya hivyo vitaumana.Wampeleke gereza ambalo kafungwa mume wa aliyebakwa..mengine tumuachie bwana jela.
Inawezekana kabisaHuyo mama nae alikubal baada ya kuona mumewe hatok ndio kaenda kushitak au nn
Au mganga hakupeleka Moto vizuri, alimchafua chafua tuHuyo mama nae alikubal baada ya kuona mumewe hatok ndio kaenda kushitak au nn
Hii Ni Kama prison break,Unabaka 11th October 2021 then hukumu inakuwa 20th October 2021.Kazi inaisha!
Nzuri sana hii.
Hapa ndiyo nawashangaa Watz. mama kabakwa na mganga wa kienyeji lakini inaonekana kosewa ndiyo mkosaji. Mganga kamulaghai, lakini kwa wengine inaonekana yeye ndiyo kajitoa. Pathetic!kwani maza angeikataa dawa ya mnana hiyo ingekuwaje? maana sharti la kwanza kwa mganga ni ukubali ama ukatae masharti - uamuzi huwa ni wa wako.... maza wee sema ukweli...
Sasa mafunzo ya miaka 30 kozi gani hiyo?Anahukumiwa kwenda chuo na sio gerezani??
Hukumu simple sana.