Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Kuna dawa za mvutoWakuu wazima hivi ni kweli kuna mganga wa mapenzi, au ni sound tu tunapigwa?
🤣🤣🤣Unamtaka yeye au hela zake.
Mpe vyoteKuna dawa za mvuto
Kuna dawa za ngekewa
Kuna limbwata
Aje na kuku mweupe (dollar)Yupo,njoo PM
Dada u TP umeanza lini? 😹🤣🤣Kwa sababu unajua mi mlokole au sio?we mwambie anicheki pm nimpe mchongo
Kuna gundu la kimaviMpe vyote
NdiyooKwa sababu unajua mi mlokole au sio?we mwambie anicheki pm nimpe mchongo
Usijali...Ndiyoo
Halafu nyuzi nyingi nataniaga hivi watu wako serious mmoja alinifuata akaomba nifungue PM aisee watu hawatanii!wako serious....itabidi nitafute fundi wa ukweli nianze kuwa freelancer 😂😂😂Dada u TP umeanza lini? 😹🤣🤣
Ulivyo serious sasa.!!
Ujue this is a really business dogo?🤣🤣🤣Aje na kuku mweupe (dollar)
Mwambie kabisa mganga nishasema 😹🤣🤣
Wamesema ni huyu hapaWakuu wazima hivi ni kweli kuna mganga wa mapenzi, au ni sound tu tunapigwa?
JF vichaa wengi, kuna mmoja aliniomba connection ya mganga amiliki pesa kisa niliwajaza kwenye uzi…!! 🤣🤣Halafu nyuzi nyingi nataniaga hivi watu wako serious mmoja alinifuata akaomba nifungue PM aisee watu hawatanii!wako serious....itabidi nitafute fundi wa ukweli nianze kuwa freelancer 😂😂😂
😹😹😹 Dada unatafuta pesa ya hennessy kinguvuUjue this is a really business dogo?🤣🤣🤣
kutoka wapi? dokta Mwaka pamoja na kutoa tiba ya nguvu za kiume ameachikaWakuu wazima hivi ni kweli kuna mganga wa mapenzi, au ni sound tu tunapigwa?
Hakuna namna mdogo wangu kikubwa vitu vinywewe😹😹😹 Dada unatafuta pesa ya hennessy kinguvu