Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini hawana mitambo ya ziada?
Miaka 60 ya uhuru bado tunahangaika na migao ya umeme tu!
Bado kidogo mitambo ya Tegeta itanguruma.
Utaskia ooh watu walipotezwa kwenye viroba mara Ben sanane sijui Azory! Huo ndio utetezi wa vyeti feki anti-MaguTutamkumbuka Sana uncle Magu chini yake hakukuwa na tatizo la umeme wala maji aliwapiga beat Tanesco hata kabla yakuingia madarakani, kiufupi tunarudi kwenye maisha tuliyoyazoea hii nchi inatakiwa impate raisi ambaye ni mkali asiyependa masiala na mwenye maamuzi magumu sasa huyu Raisi wasasa anaendeshwa kwasababu ni mpole na hana maamuzi magumu so watu watamchezea wanavyotaka.Ukali wa Magu ulisaidia hii kunyooka kulikuwa na taarifa eti maji ya kidatu kupunguza Mara kwa Mara kipindi Cha kikwete lakini tangu aingie Magu Huu upuuzi ulikuwa haupo.
Nyani Ngabu
Nchi imeponywa ofcourse..Kabisa yaani,
Dhalimu ameondoka hali sasa ni shwari,,watu walikenua sana yaani nchi imeponywa.
Muda si mrefu utaskia mfumo wa GePG ume collapse wanakodi mfumo mpya India kwa ajili ya kupokelea malipo yote ya serikali!R.I.P JPM hii yote ni kufanya jambo kwa kumuwaza JPM asimgekufa ina maana kuna siku umeme ungekatika.
Hawa wanataka kubadili mfumo wa kupokea pesa hawataki pesa wazikose kama kipindi kileee saivi wapo serious kushirikilia kila sehemu vibaki kwa ajili ya vizazi na vizazi vyao .
hii nchi ni yetu sote sio ya watoto wa vigogo mbona nyerere hajatufanyia hivi ila wao wanataka kushika kila kitu huyu aridhi,huyu habari ili kuzuia na kuelekeza propaganda huyu mwingine anapiga msumali matrillioni yakae ndani mwao.
Huu ni uongo, mtambo usipofanya maintenance utakuumbua tu. Pia ilisubiri January awe waziri ili ianze kuharibika?Nafikiri kwa muda mrefu Tanesco wamekuwa wakiendesha hiyo mitambo bila periodic maintenance kwa kuhofia kuonekana saboteurs baada ya serikali kuahidi hamna mgao. Now the chickens have come home to roost maana wakizidi kuiendesha ita collapse kabisa. Hawana jinsi bali wafanye the long over due maintenance.
Amandla...
Kwa wezi na mafisadi wainjoyHakika nchi inafunguka!
Sababu za mgao Tanesco wamezitaja kwenye taarifa waliotoa...Kila hitilafu ikitokea inakuwa oh...fulani angekewepo isingetokea!!
Hata mashine zinachoka na kuhitaji ukarabati...
"Mpaka mvua ikichelewa kunyesha itasemwa kwa kuwa fulani hayupo.."
Tusubiri wahusika watujulishe sababu ya mgao na sio kuangalia nani yupo nani kaondoka...
Ilishaanza kuonyesha hitilafu kitambo tu na kama Tanesco wasiporekebisha Sasa hivi hata huo umeme wa mgao hamtaupata.Huu ni uongo, mtambo usipofanya maintenance utakuumbua tu. Pia ilisubiri January awe waziri ili ianze kuharibika?
Pikipiki tu huwezi kuendesha mwaka mzima bila service
Ngoja aive kisha ataliwaKwan MaEngineer wa tanesco wao wanasemaje.?
Maharage ni muhuni Tu sio wakumsikiliza
Sawasawa....Mambo ya kiufundi na majanga ya asili hayana Nani yupo au Alikuwepo....Sababu za mgao Tanesco wamezitaja kwenye taarifa waliotoa...
.tatizo watu wanapinga tu kila kitu, wengi wao walikuwa mashabiki wa awamu ya 5 ila Sasa wamegeuka pingapinga.
Ewaaa MangiNchi imeponywa ofcourse..
Maza anaupiga mwingi…
Karibu BurundiKuna Muda Natamani hata nisingezaliwa Tanzania
Ikawa jioni ikawa asubuhi tarehe 17 march 2021. Yakafanyika mafekeche yakatokea yaliyotokea. I love you Yanga
Kisha wote tuseme Ccm mbele kwa mbeleSafi sana!
Mama anafungua nchi!
Tuliaonewa sana kwa miaka 5!
Tunapumua!
Sasa iwe kweli siku kumi sio ipitilize...zikipungua sio mbaya.#HABARI: Shirika la Umeme Nchini(TANESCO) limetangaza mgao wa umeme wa siku 10 kuanzia Februari 01, 2022 kutokana na marekebisho katika bomba la gesi kutoka Songosongo na TPDC.
Zaidi Bofya>> TANESCO yatangaza mgao wa umeme kwa siku kumi. https://t.co/slDkZf751v