Mgao ujao wa umeme…

Utaskia ooh watu walipotezwa kwenye viroba mara Ben sanane sijui Azory! Huo ndio utetezi wa vyeti feki anti-Magu
 
Muda si mrefu utaskia mfumo wa GePG ume collapse wanakodi mfumo mpya India kwa ajili ya kupokelea malipo yote ya serikali!
Magufuli alipowanyoosha alikuwa sahihi sana na alisema million times wanaonichukia ni wapiga deals ila wengi walichukulia mzaha.
 
Huu ni uongo, mtambo usipofanya maintenance utakuumbua tu. Pia ilisubiri January awe waziri ili ianze kuharibika?
Pikipiki tu huwezi kuendesha mwaka mzima bila service
 
Sababu za mgao Tanesco wamezitaja kwenye taarifa waliotoa...

.tatizo watu wanapinga tu kila kitu, wengi wao walikuwa mashabiki wa awamu ya 5 ila Sasa wamegeuka pingapinga.
 
Huu ni uongo, mtambo usipofanya maintenance utakuumbua tu. Pia ilisubiri January awe waziri ili ianze kuharibika?
Pikipiki tu huwezi kuendesha mwaka mzima bila service
Ilishaanza kuonyesha hitilafu kitambo tu na kama Tanesco wasiporekebisha Sasa hivi hata huo umeme wa mgao hamtaupata.
 
Sababu za mgao Tanesco wamezitaja kwenye taarifa waliotoa...

.tatizo watu wanapinga tu kila kitu, wengi wao walikuwa mashabiki wa awamu ya 5 ila Sasa wamegeuka pingapinga.
Sawasawa....Mambo ya kiufundi na majanga ya asili hayana Nani yupo au Alikuwepo....
 
Naona pale juu pana KIGOGO,pembeni kuna maharage mbona tutakoma,na wote wanakula urefu wa kamba zao kama bibi unguja alivyoelekeza.
 
Naona pale juu pana KIGOGO,pembeni kuna maharage mbona tutakoma,na wote wanakula urefu wa kamba zao kama bibi unguja alivyoelekeza.
 
Maza anaupiga mwingi…

Kuna kitu sielewi kwanini January anaingia mikataba mingi yenye kuigharimu nchi Fedha nyingine za kigeni kwa kasi ya ajabu; hivi hii mikataba ya fedha nyingi kiasi hiki inapata baraka za Bunge ? Tusipokuwa macho huyu Kijana anaweza Kuwa anatumia udhaifu aliougundua kupiga fedha kwani Samia is busy musing about going to school so that she has the title of "DR"!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…