Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #61
Tanzania hii ili mambo yaende inabidi uwe mkali. Huwezi ukawachekea chekea na kuwarembulia macho watu halafu utegemee shughuli ziende.Acha mijinga ya tz inyooshwe maana yule ilisema ni katili
Wakiuza shirika bila sababu za msingi.....wajiandae kukaba kila mchezaji uwanjani vinginevyo watafungwa magoli mengi sana.Wanatayarisha mazingira ya kuiuza Tanesco, kila kitu kimepangwa, wana check box tu, It’s a coup !
Kwa hiyo shirika halina kabisa mipango ya kuhakikisha kuwa hakuna usumbufu wa ukosefu wa umeme pindi wanapoifanyia ukarabati hiyo mitambo?Nafikiri kwa muda mrefu Tanesco wamekuwa wakiendesha hiyo mitambo bila periodic maintenance kwa kuhofia kuonekana saboteurs baada ya serikali kuahidi hamna mgao. Now the chickens have come home to roost maana wakizidi kuiendesha ita collapse kabisa. Hawana jinsi bali wafanye the long over due maintenance.
Amandla...
Kuna Muda Natamani hata nisingezaliwa Tanzania
Kama sio kula wao umeme basi wanatuonea wivu kunyoosha kwa pasi za umeme mashati yetu.. (Jokes) ila ni mazingira ya biashara zao za majenereta na solarInadaiwa mgao wa umeme unakuja. Inadaiwa unaanza tarehe 1 mwezi ujao wa Februari.
Sababu ya huo mgao eti ni matengenezo ya mitambo yao ya wapi wapi huko sijui…
Sasa kwa akili zangu hizi za kidato cha nne, ni kama vile sielewi elewi.
Mbona nchi zingine huwa hakuna migao inayosababishwa na matengenezo ya mitambo ya umeme?
Au zipo? Kama zipo, basi sawa. Ila kwa nchi nizijuazo mimi, kamwe hata mara moja sijawahi sikia eti kutakuwepo na mgao au migao ya umeme kwa sababu mitambo ya kuzalisha au kusambaza umeme inafanyiwa ukarabati.
Hao wenzetu wao mitambo yao huwa haihitaji ukarabati? Kama huwa inahitaji ukarabati, wanawezaje kuepuka migao ya umeme?
Kwa nini sisi kila mitambo inapohitaji ukarabati [ kama ni kweli inahitaji huo ukarabati] basi kunakuwepo na mgao?
Manake hili si jambo geni. Limekuwepo siku zote. Sasa miaka yote hii hawa watu hawajaweza tu kubuni namna ya kuikarabati hiyo mitambo bila kuleta usumbufu wa migao?
Tanesco….and whoever else involved….seriously????
Kwa hiyo shirika halina kabisa mipango ya kuhakikisha kuwa hakuna usumbufu wa ukosefu wa umeme pindi wanapoifanyia ukarabati?
Mbona nchi zingine nilizowahi kuishi huwa hakuna migao ya umeme ya hivyo?
Wao mitambo yao huwa haihitaji ukarabati?
Na haiwezekani umeme kuendelea kuwepo huku mitambo ikifanyiwa ukarabati?
Binafsi sijali sana umeme unatoka wapi.Hizo nchi watakuwa na umeme wa ziada walau mara mbili zaidi ya uhitaji wa MW zinazozalishwa...
Mzee hivi unajua kuna maeneo Tanzania yanapata umeme toka mchi jirani? (Kenya, Uganda na Zambia)...yaani Tanzania inanunua umeme toka huko
Mkuu ingekuwa vema kama ungeondoa hisia na chuki dhidi ya huyo fulani ili nasi tupate kitu kwa maoni yako. Nchi ya Korea Kusini mtoto anazaliwa hadi anafika umri wa miaka 30 hakumbuki kama kuna siku umeme ulishawahi kukatika. Je, huko hakuna mitambo inayohitaji ukarabati? Kwa nini usikubali tu kuwa mabadiliko ya uongozi yamesababisha pia kulegalega kwa taasisi zetu??Kila hitilafu ikitokea inakuwa oh...fulani angekewepo isingetokea!!
Hata mashine zinachoka na kuhitaji ukarabati...
"Mpaka mvua ikichelewa kunyesha itasemwa kwa kuwa fulani hayupo.."
Tusubiri wahusika watujulishe sababu ya mgao na sio kuangalia nani yupo nani kaondoka...
Maza anaupiga mwingi…
Taarifa hii katoa nani, maana wanaosemea wameshakorogwaInadaiwa mgao wa umeme unakuja. Inadaiwa unaanza tarehe 1 mwezi ujao wa Februari.
Sababu ya huo mgao eti ni matengenezo ya mitambo yao ya wapi wapi huko sijui…
Sasa kwa akili zangu hizi za kidato cha nne, ni kama vile sielewi elewi.
Mbona nchi zingine huwa hakuna migao inayosababishwa na matengenezo ya mitambo ya umeme?
Au zipo? Kama zipo, basi sawa. Ila kwa nchi nizijuazo mimi, kamwe hata mara moja sijawahi sikia eti kutakuwepo na mgao au migao ya umeme kwa sababu mitambo ya kuzalisha au kusambaza umeme inafanyiwa ukarabati.
Hao wenzetu wao mitambo yao huwa haihitaji ukarabati? Kama huwa inahitaji ukarabati, wanawezaje kuepuka migao ya umeme?
Kwa nini sisi kila mitambo inapohitaji ukarabati [ kama ni kweli inahitaji huo ukarabati] basi kunakuwepo na mgao?
Manake hili si jambo geni. Limekuwepo siku zote. Sasa miaka yote hii hawa watu hawajaweza tu kubuni namna ya kuikarabati hiyo mitambo bila kuleta usumbufu wa migao?
Tanesco….and whoever else involved….seriously????
Njoo Somalia uinjoy maishaKuna Muda Natamani hata nisingezaliwa Tanzania
🤣🤣🤣🤣🤣Huoni ni siku ya 29 naoga baharini? Huku haijafunguka bado.....labda huko kwenu Mbalizi
KOREA KUSINI!!!!!!!!!!!!!!!.................................Mkuu ingekuwa vema kama ungeondoa hisia na chuki dhidi ya huyo fulani ili nasi tupate kitu kwa maoni yako. Nchi ya Korea Kusini mtoto anazaliwa hadi anafika umri wa miaka 30 hakumbuki kama kuna siku umeme ulishawahi kukatika. Je, huko hakuna mitambo inayohitaji ukarabati? Kwa nini usikubali tu kuwa mabadiliko ya uongozi yamesababisha pia kulegalega kwa taasisi zetu??
Unaweza kupata uraia wa nchi yeyote unayotaka si lazima uwe mzaliwa wa hapo.....
Kama kuwa Mtanzania kunakukera badilisha uraia hujachelewa
na wewe anza kabisa kusema May Day huenda tukaepuka kikombe hiki.Sasa iwe kweli siku kumi sio ipitilize...zikipungua sio mbaya.