Mgao ujao wa umeme…

Ila kuwa kiongozi bongo ni raha sana,unaangalia tu watu wanavyobweka mitandaoni huku yako yanaenda kama ulivyopanga.
 
Kwani taarifa ya Tanesco inasema ni matengenezo ya mitambo au bomba la gas? Rejea taarifa ya Tanesco then tuendelee kujadili.
Ni bomba la gesi boss...nilichanganya ma-file....samahani
 
Miaka sita ya magu hakukuwa na huo ukarabati? Mbona umeme ulikuwepo?
 
Ni kwanini hiyo asilimia 94 haitumiki?
 
Hapa kwenye umeme likiendekea hivi basi ni suala la muda tu hata tunaomsapoti na kuyavumilia mapungufu hatutamuelewa.
 
Uko sahihi. Je, umeme huo hauna mtambo wowote ule ambao unahitaji matengenezo kwa miaka zaidi ya 30.?
 
Safi sana!

Mama anafungua nchi!

Tuliaonewa sana kwa miaka 5!

Tunapumua!

Push Gang Mtapata tabu sana!!!

Watu wanajenga sana mtaani , mzunguko mkubwa!! Enzi za mtu wenu hali ilikuwa mbaya sana unaweza ukatembea umbali wa 2km hauoni ujenzi ukiendelea ila sasa kila mita 100 unaona watu wanaporomosha mijengo.
 
Basi utakuwa dogo sana wewe.

Mgao wa umeme upo tokea utawala wa Mwinyi.
Kwa kutaja miaka hiyo sio justification ya kusema mimi ni mdogo , miundombinu ya utawala wa mwinyi haikua imara kihivyo nimetoa mfano hai kwa miaka ambayo hata awareness kubwa kwa watanzania ilianza kuwepo ndio hiyo miaka mgao wa kukumbukwa sana zama za karibuni ni 2006 & 2007
 
Mimi naikumbuka sana migao ya miaka ya 80 mwishoni na miaka ya 90!
 
Ile reshuffle ya Bodi ya Tanesco plus safari ya UAE zinaanza kutoa majibu
 
Uko sahihi. Je, umeme huo hauna mtambo wowote ule ambao unahitaji matengenezo kwa miaka zaidi ya 30.?
Nchi zilizoendelea zinatumia vyanzo tofauti na sisi kupata umeme..na zina "back up" ya uhakika wanapokarabati mitambo yao..hivi umesika kinu cha nyuklia cha kuzalisha umeme? Sisi bado sana...wacha tukarabati kwanza hivi vya mabwawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…