Sirdirashy
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 3,243
- 3,047
Kumbe aliolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mali ni za jaydee sasa suala la kuruhusu mtu kuandika jina lake kwenye vitu anavyomiliki ni vibaya? Cha muhimu ajipange tu kimaisha aanze upyaaa
Kuanza upya sio ujinga, naamini captain bado kijana...
Kazoea kulelewa anaona taabu sana kuanza upya
Gadner naye aache uchizi mimi pia naamini mali ni za Jide , hakuna mwanaume ambaye atanunua magari,kiwanja na ajenge nyumba halafu vyote aandike jina la mke wake, wanaume ni wabnafsi sana.Jide kwahapo namsifu alikuwa mjanja sana.
Gadner atafute hela akaanze maisha aache kulilia mali za mwanamke, yani mali za Jide zigawanywe halafu Gadner akatanue na mwanamke mwingine aha hapana sikubali. Hapa Jide akaze buti hasikubali
Michepuko awaachie akina CK na wakongo maana hao ndo vidume, wanapiga pumbu nje na kufanya jeur zote coz pesa anazo, sasa mwenzetu na sie apa maimuna kibajaji kujifanya bepari kumbe kuku wa kizungu, liache lihangaike
Hapo kwenye red... kama Jide alijenga nyumba kabla ya ndoa, kiuhalali ni yake na siyo ya GH. Sio swala la JD kusema mahakamani vithibitisho vitaonyesha
kwenye green: Usajili wa kampuni na assets za Machozi band na MOG restaurant ndio zitatoa muongozo kuhusu mali za hizo kampuni. kampuni inasimama kama separate entity. Mali za kampuni (pamoja na magari) zinabaki kuwa za kampuni siyo za jide. Swali ni kwamba, je GH naye ni mmiliki halali wa kampuni ili aendelee kufaidika na faida itakayokuwa inatengenezwa na kampuni
Kwa ufupi, ndio maana celebrities wa US na Europe wengi huwa wanaoa celebrities wenzao ili kuondoa hii habari ya mtu kuoa/kuolewa na celebrity ili achume mali. Mkiwa wote mpo vizuri kipesa kama Beyonce na Jay Z, Beckham na Posh, mkivunja mkataba kwenye mgao kila mtu inakula kwake. Ni risk kwa celebrity kuolewa na mtu asiyekuwa na pesa
Ni mtizamo wangu tu
Lakini hapa ilikuwaje Gadner akaruhusu mali zote ziandikwe jina la Jide?? Halafu Gadner si alikuwa anafanya kazi Clouds fm/Times Fm na analipwa Mshahara?? Ina maana hela zote alikuwa anaweka kwenye kapu la Jide?? halafu watu mbona hawajishugulishi kuhoji zilipo mali za Gadner??
Una maana kubwa na pana sana , mimi huwa nautafakari sana ,mwanamke ni kiumbe wa ajabu inahitaji akili, hekima na busara kuishi nae.
Unapoacha mwanamke awe na akili ndio hapo mali zote anaandika jina lake, mwanaume ni kichwa cha nyumba sasa ukiacha mwanamke awe kichwa cha nyumba ndio matokeo yake hayo.
Gardner ni malaya na mara nyingi Jide kambamba jamaa mara kibao anagonga videmu ndani ya Murano, Jide ni mwanamke mvumilivu sana. Hakuna mtu anapenda starehe na matanuzi kama Gadner, hata kupewa umeneja kwa Jide, ni heshima tu ya Jide kwa mumewe, kwa hili kama ingekuwa ni uwezo wangu Gadner asingepata hata kijiko kwenye mgao wa mali. Yeye aliwekeza TBL na vitoto Vya kike vya mjini huku akijua capital for his investment inatokana na jasho la mke wake. Sasa ni mda wa yeye kupata return yake kutoka TBL na videmu Vya town. Yaani Jide a struggle kutafuta hela tena kwa kazi ngumu kama yake halafu leo aje agawane na msaliti asiyebebeka? Mara ngapi Jide anamvumilia mme wake kwa usaliti anaomfanyia? Mimi ni mwanaume nimeoa na naelewa mchango wa wanafamilia kwenye mali, ila kwa hili la Gadner no way!? Asipate hata toilet paper! Ni mshamba na mnyanyasaji wa kijinsia. Anahonga, anapiga mademu ndani ya gari ya mke wake, anafanya starehe atakavyo kwa jasho la mke wake eti leo wagawane, si yeye mgao wake alikuwa anautumia kufanyia starehe? Alaaah!!!?
Hivi kwanini mnadhani mpaka leo si Gadner wala Jide hawasemi tatizo la wao kuachana? Hivi unadhani kama Jide angekuwa na matatizo si dunia nzima ingejua kuwa mwenye tatizo kwenye ndoa yao ni Jide. Kama leo G anaenda mahakamani kudai mali, what if Jide ndo angekuwa mkosaji? Unadhani G abgekaa kimya na hasa ukizingatia yeye alikuwa super mario? Jide anamsitiri, siku akiamua kulopoka kama walivyo mastaa wengine, wote mnaomshabikia Gadner mtasanda.
Umefanya tafiti,nina rafiki yangu ni director ofis fulani ya serikali,yeye kila anachonunua anaandika jina la mkewe,ana nyumba tatu zote kaandika jina la mkewe,gari kaandika jina la mkewe,na kila mwisho wa mwezi ana mpa 85% ya mhahara wake,mkewe ni mwalimu
Gardner ni malaya na mara nyingi Jide kambamba jamaa mara kibao anagonga videmu ndani ya Murano, Jide ni mwanamke mvumilivu sana. Hakuna mtu anapenda starehe na matanuzi kama Gadner, hata kupewa umeneja kwa Jide, ni heshima tu ya Jide kwa mumewe, kwa hili kama ingekuwa ni uwezo wangu Gadner asingepata hata kijiko kwenye mgao wa mali. Yeye aliwekeza TBL na vitoto Vya kike vya mjini huku akijua capital for his investment inatokana na jasho la mke wake. Sasa ni mda wa yeye kupata return yake kutoka TBL na videmu Vya town. Yaani Jide a struggle kutafuta hela tena kwa kazi ngumu kama yake halafu leo aje agawane na msaliti asiyebebeka? Mara ngapi Jide anamvumilia mme wake kwa usaliti anaomfanyia? Mimi ni mwanaume nimeoa na naelewa mchango wa wanafamilia kwenye mali, ila kwa hili la Gadner no way!? Asipate hata toilet paper! Ni mshamba na mnyanyasaji wa kijinsia. Anahonga, anapiga mademu ndani ya gari ya mke wake, anafanya starehe atakavyo kwa jasho la mke wake eti leo wagawane, si yeye mgao wake alikuwa anautumia kufanyia starehe? Alaaah!!!?
Hivi kwanini mnadhani mpaka leo si Gadner wala Jide hawasemi tatizo la wao kuachana? Hivi unadhani kama Jide angekuwa na matatizo si dunia nzima ingejua kuwa mwenye tatizo kwenye ndoa yao ni Jide. Kama leo G anaenda mahakamani kudai mali, what if Jide ndo angekuwa mkosaji? Unadhani G abgekaa kimya na hasa ukizingatia yeye alikuwa super mario? Jide anamsitiri, siku akiamua kulopoka kama walivyo mastaa wengine, wote mnaomshabikia Gadner mtasanda.
Umefanya tafiti,nina rafiki yangu ni director ofis fulani ya serikali,yeye kila anachonunua anaandika jina la mkewe,ana nyumba tatu zote kaandika jina la mkewe,gari kaandika jina la mkewe,na kila mwisho wa mwezi ana mpa 85% ya mhahara wake,mkewe ni mwalimu