Mgao wa pesa kulingana na mahitaji

Mgao wa pesa kulingana na mahitaji

Razorblade

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2019
Posts
337
Reaction score
753
Habari!

Kumekuwa na kundi kubwa la watu hasa vijana ambao wanashindwa kujua namna ipi nzuri na rahisi ya kugawa pesa zao kulingana na mahitaji yao.

Naomba nitoe ushauri na kupendekeza njia rahisi inayoweza kuwa msaada kwa wengi katika kufikia malengo.

Njia hii ambayo imeelezwa kwenye kitabu cha All Your Worth: The Ultimate Lifetime Money Plan(Published 2005) kilichoandikwa na Elizabeth Warren pamoja na binti yake Amelia Warren.

Njia hii inahusisha ugawaji wa pesa kulingana na mahitaji kwa kutumia asilimia(%) kama ifuatavyo;-

50%(Mahitaji Muhimu)
Haya ni mahitaji ya lazima kwa mtu, sehemu hii inahusisha malazi, makazi na chakula na inaweza kuhusisha usafiri pia.

30%(Mahitaji Mengineyo)
Sehemu hii inahusisha mahitaji ambayo sio ya lazima kulingana na mahitaji ya mtu husika.

20%(Akiba)
Hii ni sehemu muhimu zaidi, kila mtu anapaswa kujaribu kutenga kiasi kama akiba au uwekezaji. Hatua hii inaweza kusaidia zaidi inapojitokeza dharura au kufikia malengo fulani.
20240407_195251.jpg


Muhimu: Njia hii inategemea na mahi taji ya mtu husika.
 
H
Habari!

Kumekuwa na kundi kubwa la watu hasa vijana ambao wanashindwa kujua namna ipi nzuri na rahisi ya kugawa pesa zao kulingana na mahitaji yao.

Naomba nitoe ushauri na kupendekeza njia rahisi inayoweza kuwa msaada kwa wengi katika kufikia malengo.

Njia hii ambayo imeelezwa kwenye kitabu cha All Your Worth: The Ultimate Lifetime Money Plan(Published 2005) kilichoandikwa na Elizabeth Warren pamoja na binti yake Amelia Warren.

Njia hii inahusisha ugawaji wa pesa kulingana na mahitaji kwa kutumia asilimia(%) kama ifuatavyo;-

50%(Mahitaji Muhimu)
Haya ni mahitaji ya lazima kwa mtu, sehemu hii inahusisha malazi, makazi na chakula na inaweza kuhusisha usafiri pia.

30%(Mahitaji Mengineyo)
Sehemu hii inahusisha mahitaji ambayo sio ya lazima kulingana na mahitaji ya mtu husika.

20%(Akiba)
Hii ni sehemu muhimu zaidi, kila mtu anapaswa kujaribu kutenga kiasi kama akiba au uwekezaji. Hatua hii inaweza kusaidia zaidi inapojitokeza dharura au kufikia malengo fulani. View attachment 2956815

Muhimu: Njia hii inategemea na mahi taji ya mtu husika.
hapo umeacha 10% za kuhonga
 
Nikajua unatugawia pesa kumbe unatuelekeza kugawa pesa zetu, hzizi waga swaga za wasio na pesa anaona wanaotumia kama wanaishiwa kumbe ndio kwanza wapo mfuko wa shati. Cha msingi tafuta pesa hutakaa na bajeti za kikosa kazi kama hizi.
 
Nikajua unatugawia pesa kumbe unatuelekeza kugawa pesa zetu, hzizi waga swaga za wasio na pesa anaona wanaotumia kama wanaishiwa kumbe ndio kwanza wapo mfuko wa shati. Cha msingi tafuta pesa hutakaa na bajeti za kikosa kazi kama hizi.
Ukiona maudhui hayana manufaa kwako ujue wewe siyo mlengwa.
 
Back
Top Bottom