mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Tanzania yetu sote, serikali yetu sote piana CCM Chama chako
Haijalishi ni Serikali ya chama gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania yetu sote, serikali yetu sote piana CCM Chama chako
Ngoja tumpeleke Kaaya, Kingai , Mahita, muuza Mbege na mzee wa Ballistic wawashughulikie hao KCMC[emoji1]Mgao wa maji na umeme unaoendelea hapa nchini umeitikisa hospitali ya KCMC inayotegemewa na zaidi ya watu millioni 15 nchini na imelazimika kusitisha baadhi ya huduma kama vile upasuaji, uzalishaji wa mitungi ya Oxygen n.k.
=======
Moshi. Makali ya uhaba wa maji na umeme usipime. Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea adha wanayopitia wananchi huku Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC ikieleza athari inazopata kutokana na mgawo wa umeme.
RAU tena imo! Sasa mbege itakuwaje.Mgao wa maji na umeme unaoendelea hapa nchini umeitikisa hospitali ya KCMC inayotegemewa na zaidi ya watu millioni 15 nchini na imelazimika kusitisha baadhi ya huduma kama vile upasuaji, uzalishaji wa mitungi ya Oxygen n.k.
=======
Yamekuwa haya tena!!Tanzania yetu sote, serikali yetu sote pia
Haijalishi ni Serikali ya chama gani
Akikujibu hii unitag.Yamekuwa haya tena!!
Si mlisema watakao chagua upinzani, hawatopelekewa huduma na Serikali.
Mi 5 tena kwa madam presidaMgao wa maji na umeme unaoendelea hapa nchini umeitikisa hospitali ya KCMC inayotegemewa na zaidi ya watu millioni 15 nchini na imelazimika kusitisha baadhi ya huduma kama vile upasuaji, uzalishaji wa mitungi ya Oxygen n.k.
=======
Moshi. Makali ya uhaba wa maji na umeme usipime. Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea adha wanayopitia wananchi huku Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya
Mkuu njoo mbulu huku wama ng'ati wazee wetu wana miaka zaidi ya 80 hawajawahi kuona umeme wala kunywa maji ya dawa lakini wanaishiInategemea na jinsi unavyoona, kama unatibiwa kwa Mganga wa kienyeji na unaamini uchawi labda ni kweli siyo hitaji kuu, lkn kwa modern World Umeme ni hitaji kuu, bila umeme hauna maji safi, friji za kuhifadhia dawa Hospitalini hazifanyi kazi, daktari hawezi kufanya operation kwa mgonjwa, kuna watu wana dharura wamepata ajali, wameungua moto, mama anajifungua vyote hivi bila umeme haviwezekani …
Mkuu njoo mbulu huku wama ng'ati wazee wetu wana miaka zaidi ya 80 hawajawahi kuona umeme wala kunywa maji ya dawa lakini wanaishi
Mkuu njoo mbulu huku wama ng'ati wazee wetu wana miaka zaidi ya 80 hawajawahi kuona umeme wala kunywa maji ya dawa lakini wanaishi