Mgao wa umeme: Hospitali ya KCMC yasitisha baadhi ya huduma

Mgao wa umeme: Hospitali ya KCMC yasitisha baadhi ya huduma

Kinachofanyika ni kujenga hoja ikubqlike juu ya kuachana na mradi wa bwawa la mwal.nyerere.
 
Mgao wa maji na umeme unaoendelea hapa nchini umeitikisa hospitali ya KCMC inayotegemewa na zaidi ya watu millioni 15 nchini na imelazimika kusitisha baadhi ya huduma kama vile upasuaji, uzalishaji wa mitungi ya Oxygen n.k.

=======

Moshi. Makali ya uhaba wa maji na umeme usipime. Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea adha wanayopitia wananchi huku Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC ikieleza athari inazopata kutokana na mgawo wa umeme.
Ngoja tumpeleke Kaaya, Kingai , Mahita, muuza Mbege na mzee wa Ballistic wawashughulikie hao KCMC[emoji1]
 
Mgao wa maji na umeme unaoendelea hapa nchini umeitikisa hospitali ya KCMC inayotegemewa na zaidi ya watu millioni 15 nchini na imelazimika kusitisha baadhi ya huduma kama vile upasuaji, uzalishaji wa mitungi ya Oxygen n.k.

=======
RAU tena imo! Sasa mbege itakuwaje.
 
Mgao wa maji na umeme unaoendelea hapa nchini umeitikisa hospitali ya KCMC inayotegemewa na zaidi ya watu millioni 15 nchini na imelazimika kusitisha baadhi ya huduma kama vile upasuaji, uzalishaji wa mitungi ya Oxygen n.k.

=======

Moshi. Makali ya uhaba wa maji na umeme usipime. Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea adha wanayopitia wananchi huku Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya
Mi 5 tena kwa madam presida
 
Inategemea na jinsi unavyoona, kama unatibiwa kwa Mganga wa kienyeji na unaamini uchawi labda ni kweli siyo hitaji kuu, lkn kwa modern World Umeme ni hitaji kuu, bila umeme hauna maji safi, friji za kuhifadhia dawa Hospitalini hazifanyi kazi, daktari hawezi kufanya operation kwa mgonjwa, kuna watu wana dharura wamepata ajali, wameungua moto, mama anajifungua vyote hivi bila umeme haviwezekani …
Mkuu njoo mbulu huku wama ng'ati wazee wetu wana miaka zaidi ya 80 hawajawahi kuona umeme wala kunywa maji ya dawa lakini wanaishi
 
Mkuu njoo mbulu huku wama ng'ati wazee wetu wana miaka zaidi ya 80 hawajawahi kuona umeme wala kunywa maji ya dawa lakini wanaishi
[emoji1787][emoji1787]
 
Moshi ilikuwa na maji ya ziada miaka iliyopita. Ilikuwa ni kati ya miji michache hapa Africa yenye maji mengi.

Sasa imekuwaje.

Mama kapewa Janga la Urais.
 
Back
Top Bottom