Mgao wa Umeme Tanzania Nzima, Kisa cha Engine ya Dizeli na Mradi Wa Stigler's HEP, matrilioni yetu Tumepigwa tena?

Mgao wa Umeme Tanzania Nzima, Kisa cha Engine ya Dizeli na Mradi Wa Stigler's HEP, matrilioni yetu Tumepigwa tena?

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Hii Nchi sasa inabidi ifanyiwe Factory Reset.
La sivyo hakuna kitu kitasimama hata tujikakamue vipi. Ni lazima mnyororo na mkondo wa Mafisadi ukomeshwe. Nani wa kuukomesha?

Mafisadi hawawezi kuukomesha. Likes dissolves like hii ni kanuni ya kikemia. Unachagua fisadi unamwingiza kwenye mfumo wa kifisadi hakuna matokeo.

Ndani ya miezi miwili Oktoba Novemba nimeshuhudia mgao wa umeme Arusha, Dar, Lindi, Mtwara, Pwani, Zanzibar.

Hali hii itaisha mpaka lini?

Serikali ya Tanzania imejizatiti chini ya Dr Magufuli kuhakikisha tunapata umeme wa uhakika. Yalisemwa mengi kwamba umeme utakuwa mwingi na mwingine utauzwa nje.

Ghafla bin vuu SGR umeme unasumbua sasa tunataka kununua Dizel😄😄😄😄

Unamaliza elimu ya form four unapewa cheti lakini unaanza tena kurudia form II.

Ndugu zanguni kuna shida kubwa sana kwenye mifumo yetu ya utawala. Na sijui nini kifanyike.

Kama ingekuwa computer au Simu basi virusi vikiingia suluhisho ni Factory Reset. Password zote za wizi na za Hackers zinafutika unaanza upya na kifaa kipya.

Engineer wa kifaa hichi( Tanzania) ni Tundu Lissu Pekee. Let him take the course.

Tutaendelea kupuyanga mpaka lini?
 
Mi naona hii nchi tuibinafisishe tu

Tutangaze nchi yoyote iliyopo tayar kuja kutukodi kwa muda hata wa miaka 50,cha msingi tunachokitaka ni kuwa na maisha bora kwa raia

Kitu ambacho huwa kinaniumiza hapa tz ni kukuta taasis fulani inafanya vibaya imedorola yaan haiwez kitu lakin unakuta boss na wafanyakaz wa hyo taasis anaishi maisha ya kifuru wanajenga mahekaru miradi yao inaenda na unakuta wanang'aa hatar lakin taasisi inaenda kujifia
 
Hii Nchi sasa inabidi ifanyiwe Factory Reset.
La sivyo hakuna kitu kitasimama hata tujikakamue vipi. Ni lazima mnyororo na mkondo wa Mafisadi ukomeshwe. Nani wa kuukomesha?

Mafisadi hawawezi kuukomesha. Likes dissolves like hii ni kanuni ya kikemia. Unachagua fisadi unamwingiza kwenye mfumo wa kifisadi hakuna matokeo.

Ndani ya miezi miwili Oktoba Novemba nimeshuhudia mgao wa umeme Arusha, Dar, Lindi, Mtwara, Pwani, Zanzibar.

Hali hii itaisha mpaka lini?

Serikali ya Tanzania imejizatiti chini ya Dr Magufuli kuhakikisha tunapata umeme wa uhakika. Yalisemwa mengi kwamba umeme utakuwa mwingi na mwingine utauzwa nje.

Ghafla bin vuu SGR umeme unasumbua sasa tunataka kununua Dizel😄😄😄😄

Unamaliza elimu ya form four unapewa cheti lakini unaanza tena kurudia form II.

Ndugu zanguni kuna shida kubwa sana kwenye mifumo yetu ya utawala. Na sijui nini kifanyike.

Kama ingekuwa computer au Simu basi virusi vikiingia suluhisho ni Factory Reset. Password zote za wizi na za Hackers zinafutika unaanza upya na kifaa kipya.

Engineer wa kifaa hichi( Tanzania) ni Tundu Lissu Pekee. Let him take the course.

Tutaendelea kupuyanga mpaka lini?
Kuweni na uzaendo kwa nchi yenu. Mambo kama hayo siyo kuyaanika mitandaoni kwani nchi jirani zikiona zitatudharau. Mambo kama haya tuwe tunalalamika kwa kupigiana simu au kwenye magrupu ya kitanzania au kuwatumia ujumbe wakuu wa wilaya na mikoa
 
Kitu ambacho huwa kinaniumiza hapa tz ni kukuta taasis fulani inafanya vibaya imedorola yaan haiwez kitu lakin unakuta boss na wafanyakaz wa hyo taasis anaishi maisha ya kifuru wanajenga mahekaru miradi yao inaenda na unakuta wanang'aa hatar lakin taasisi inaenda kujifia
Hii kitu inashangaza sana. Na ndio nchi nyingi za afrika zilivyo.

Unakuta mkuu wa kituo let say TRA office imechoka balaa. Ila Boss wa hicho kituo ana miliki ukwasi wa kufa mtu
 
Mi naona hii nchi tuibinafisishe tu

Tutangaze nchi yoyote iliyopo tayar kuja kutukodi kwa muda hata wa miaka 50,cha msingi tunachokitaka ni kuwa na maisha bora kwa raia

Kitu ambacho huwa kinaniumiza hapa tz ni kukuta taasis fulani inafanya vibaya imedorola yaan haiwez kitu lakin unakuta boss na wafanyakaz wa hyo taasis anaishi maisha ya kifuru wanajenga mahekaru miradi yao inaenda na unakuta wanang'aa hatar lakin taasisi inaenda kujifia
Kama tumeshindwa kuwaondoa mchwa ndani mwetu, unadhani tutakuwa na ubavu wa kuiandikia mkataba kwa mwekezaji?

Hata kabla hujatamka neno la kwanza, tayari umewahishwa kuzimu.
 
Kuweni na uzaendo kwa nchi yenu. Mambo kama hayo siyo kuyaanika mitandaoni kwani nchi jirani zikiona zitatudharau. Mambo kama haya tuwe tunalalamika kwa kupigiana simu au kwenye magrupu ya kitanzania au kuwatumia ujumbe wakuu wa wilaya na mikoa
Mkuu haya mambo yako siku zote. Hapa tunataka kuyajadili kwa pamoja kama wananchi.

Unaogopa kuchekwa na wakenya😃😃
 
Ndio mwisho wa akili yako au
Kuweni na uzaendo kwa nchi yenu. Mambo kama hayo siyo kuyaanika mitandaoni kwani nchi jirani zikiona zitatudharau. Mambo kama haya tuwe tunalalamika kwa kupigiana simu au kwenye magrupu ya kitanzania au kuwatumia ujumbe wakuu wa wilaya na mikoa
 
Sasa ni lini tutapata nafuu?
Wazo langu ni kwamba badala ya kuhangaika na njia ndefu ya kumtafuta mwekezaji, halafu tupambane kuwaondoa mchwa ili tummilikishe yeye, kwa nini tusipambane tu kuwaondoa mchwa hao kisha tukajimilikisha wenyewe nchi yetu?
 
Hii Nchi sasa inabidi ifanyiwe Factory Reset.
La sivyo hakuna kitu kitasimama hata tujikakamue vipi. Ni lazima mnyororo na mkondo wa Mafisadi ukomeshwe. Nani wa kuukomesha?

Mafisadi hawawezi kuukomesha. Likes dissolves like hii ni kanuni ya kikemia. Unachagua fisadi unamwingiza kwenye mfumo wa kifisadi hakuna matokeo.

Ndani ya miezi miwili Oktoba Novemba nimeshuhudia mgao wa umeme Arusha, Dar, Lindi, Mtwara, Pwani, Zanzibar.

Hali hii itaisha mpaka lini?

Serikali ya Tanzania imejizatiti chini ya Dr Magufuli kuhakikisha tunapata umeme wa uhakika. Yalisemwa mengi kwamba umeme utakuwa mwingi na mwingine utauzwa nje.

Ghafla bin vuu SGR umeme unasumbua sasa tunataka kununua Dizel😄😄😄😄

Unamaliza elimu ya form four unapewa cheti lakini unaanza tena kurudia form II.

Ndugu zanguni kuna shida kubwa sana kwenye mifumo yetu ya utawala. Na sijui nini kifanyike.

Kama ingekuwa computer au Simu basi virusi vikiingia suluhisho ni Factory Reset. Password zote za wizi na za Hackers zinafutika unaanza upya na kifaa kipya.

Engineer wa kifaa hichi( Tanzania) ni Tundu Lissu Pekee. Let him take the course.

Tutaendelea kupuyanga mpaka lini?
Mafisadi na wahujumu wapandwe kama mgomba
 
Back
Top Bottom