Mgao wa Umeme Tanzania Nzima, Kisa cha Engine ya Dizeli na Mradi Wa Stigler's HEP, matrilioni yetu Tumepigwa tena?

Mgao wa Umeme Tanzania Nzima, Kisa cha Engine ya Dizeli na Mradi Wa Stigler's HEP, matrilioni yetu Tumepigwa tena?

Bwawa la Nyerere linatoa suluhisho la mahitaji yetu ya umeme kwa sasa. Hakuna excuse. Maji yalijaa mpaka kumwagika, ili waongo wajitenge na wakweli.
Nina mashaka kama tumeandaa miundombinu sahihi ya kuutoa huo umeme na kuunganisha kwenye grid ya Taifa. Maana hata hatuelewi nini kinaendelea
Inatia mashaka kama tunahujumiwa au la! Na nani huyo anatuhujum kama nchi?
 
Tundu Lissu alijibu kwa kusisitiza wananchi kujikita katika mabadiliko ya kimfumo na kuacha kuangakia watu, mabadiliko ya kinfumo ambayo yatamlazimisha kiongozi yeyote afanye mambo wanavyotaka wananchi, apende asioende. Na zaidi, alisistiza kuwa suala la kuonhoza nchi ni suala shirikishi, wasiachiwe viongozi tu, viongozi wanahitaji kupewa feedback na hata kuwa ctiticized.
Well, i think the answer correlated with what we are doing here. Malalamiko yetu ni feedback kwao kwamba haturidhishwi na uongozi wao
 
Hii kitu niliitarajia baqda ya kutishwa nilipopita mtaa flani kkoo umejaa maduka ya magenerator.
Nikajiuliza imekuaje ghafla jamaa wanauza majeneretor ghafla alafu kipindi hiki qmbacho joto ni kali kupitiloza jijini. Hapa sasa nimeelewa.
 
Kuweni na uzaendo kwa nchi yenu. Mambo kama hayo siyo kuyaanika mitandaoni kwani nchi jirani zikiona zitatudharau. Mambo kama haya tuwe tunalalamika kwa kupigiana simu au kwenye magrupu ya kitanzania au kuwatumia ujumbe wakuu wa wilaya na mikoa
Hazikutoshi yaan kwa ufupi akiri zako ziko fwetu
ova
 
Hapa umenipa ukweli umeniuma.
Tundu Lissu ni miongoni mwa viongozi wawazi kabisa, pengine atafaa, hata ukisoma alivyojibu swali hili utaona ame address tatizo la msingi.

Na Mario Vargas Llosa was probably overly pessimistic, au labda hali ya kwao Peru ni mbaya zaidi ya Tanzania. Bado kuna watu wazuri wachache wamo katika siasa, ila kuwatafuta ni kwa tochi, na ngazi ya kupanda juu imejaa rushwa na uchafu. Tundu Lissu mpaka sasa hana major scandal to my knowledge.

Ila, kitu muhimu hapa ninachoasema ni kuwa, ninaasa tu, tunapotaka kutatua matatizo mengi na makubwa ya nchi yetu, hata tunapochagua viongozi tunaoona wanafaa, tusiwaachie mzigo na kusema "Tundu Lissu anatosha". Hatoshi, inabidi asaidiwe, inabidi asimamiwe, inabidi akosolewe.

Tupate mawazo ya wengi hata yeye mwenyewe asibweteke kujiona anaweza kufanya lolote analotaka.
 
Hapa Mwanza tangu juzi unakatika na usiku wa kuamkia leo ndiyo ulikatika kuanzia saa 6:30 hadi saa kumi alfajiri.
 
Tundu Lissu ni miongoni mwa viongozi wawazi kabisa, pengine atafaa, hata ukisoma alivyojibu swali hili utaona ame address tatizo la msingi.

Na Mario Vargas Llosa was probably overly pessimistic, au labda hali ya kwao Peru ni mbaya zaidi ya Tanzania. Bado kuna watu wazuri wachache wamo katika siasa, ila kuwatafuta ni kwa tochi, na ngazi ya kuoanda juu imejaa rushwa na uchafu. Tundu Lissu mpaka sasa hana major scandal to my knowledge.

Ila, kitu muhimu hapa ninachoasema ninkuwa, ninaasa tu, tunapotaka kutatua matatizo mengi na makubwa ya nchi yetu, hata tunapochagua viongozi tunaoona wanafaa, tusiwaachie mzigo na kusema "Tundu Lissu anatosha". Hatishi, inabidi asaidiwe, inabidi asimamiwe, inabidi akosolewe.

Tupate mawazo ya wengi hata yeye mwenyewe asibweteke kujiona anaweza kufanaya lolote analotaka.
I can see your point, that is to say collective Approach.

Tundu Lissu anahitaji support ya kimfumo. Kuhusu wananchi wameshajua kila kitu. This man ni miongoni mwa wanasiasa wachache wasafi sana.
 
Mkuu tuliambiwa na Mayor Quimby kwamba January na Chande ndio wanahujumu umeme. Haya leo yupo Biteko ila wapo kimya maana walituaminisha figisu zimeisha?
Watanzania wengi wana tabia ya uvivu wa kuchambua matatizo kimfumo, na wanapenda sana kutafuta mchawi, kutafuta mtu kama tatizo.

Na hata kwenye kutafuta ufumbuzi wa matatizo ni hivyo hivyo.

Wana uvivu mkubwa wa kutafuta ufumbuzi wa kimfumo, wanapenda kutafuta ufumbuzi wa kumuweka mtu fulani sehemu fulani atatue matatizo.

Kuanzia wananchi wasio na dhamana ya uongozi mpaka rais.

Ndiyo maana teua tengua haziishi nchi hii.
 
Watanzania wengi wana tabia ya uvivu wa kuchambua matatizo kimfumo, na wanaoenda sana kutafuta mchawi, kutafuta mtu kama tatizo.

Na hata kwenye kutafuta ufumbuzi wa matatizo ni hivyo hivyo.

Wana uvivu mkubwa wa kutafuta ufumbuzi wa kimfumo, wanapenda kutafuta ufumbuzi wa kumuweka mtu fulani sehemu fulani atatue matatizo.

Kuanzia wananchi wasio na dhamana ya uongozi mpaka rais.

Ndiyo maana teua tengua haziishi nchi hii.
insightful idea.

Mtu mmoja hawezi kutatua matatizo ya Nchi.
 
Tundu Lissu ni miongoni mwa viongozi wawazi kabisa, pengine atafaa, hata ukisoma alivyojibu swali hili utaona ame address tatizo la msingi.

Na Mario Vargas Llosa was probably overly pessimistic, au labda hali ya kwao Peru ni mbaya zaidi ya Tanzania. Bado kuna watu wazuri wachache wamo katika siasa, ila kuwatafuta ni kwa tochi, na ngazi ya kupanda juu imejaa rushwa na uchafu. Tundu Lissu mpaka sasa hana major scandal to my knowledge.

Ila, kitu muhimu hapa ninachoasema ni kuwa, ninaasa tu, tunapotaka kutatua matatizo mengi na makubwa ya nchi yetu, hata tunapochagua viongozi tunaoona wanafaa, tusiwaachie mzigo na kusema "Tundu Lissu anatosha". Hatoshi, inabidi asaidiwe, inabidi asimamiwe, inabidi akosolewe.

Tupate mawazo ya wengi hata yeye mwenyewe asibweteke kujiona anaweza kufanya lolote analotaka.
Well said
Tatizo linabaki moja, una raia ambao wana Ari, muamko, maarifa, ujasiri na hamu ya kutaka mabadiliko. ?
 
insightful idea.

Mtu mmoja hawezi kutatua matatizo ya Nchi.
Naam,

Ukifuatilia utaona watu wamefurahia sana Magufuli kanyoosha nchi. Magufuli karudisha nidhamu kwenye utumishi wa umma, Magufuli kamaliza mgao wa umeme.

Kumbe ni nidhamu ya woga na mazingaombwe tu. Kwa kumuogooa mtu mmoja.

Hakuna mabadiliko ya kimfumo.

Magufuli kaondoka zake, madudu yamerudi mulemule.
 
Hii Nchi sasa inabidi ifanyiwe Factory Reset.
La sivyo hakuna kitu kitasimama hata tujikakamue vipi. Ni lazima mnyororo na mkondo wa Mafisadi ukomeshwe. Nani wa kuukomesha?

Mafisadi hawawezi kuukomesha. Likes dissolves like hii ni kanuni ya kikemia. Unachagua fisadi unamwingiza kwenye mfumo wa kifisadi hakuna matokeo.

Ndani ya miezi miwili Oktoba Novemba nimeshuhudia mgao wa umeme Arusha, Dar, Lindi, Mtwara, Pwani, Zanzibar.

Hali hii itaisha mpaka lini?

Serikali ya Tanzania imejizatiti chini ya Dr Magufuli kuhakikisha tunapata umeme wa uhakika. Yalisemwa mengi kwamba umeme utakuwa mwingi na mwingine utauzwa nje.

Ghafla bin vuu SGR umeme unasumbua sasa tunataka kununua Dizel😄😄😄😄

Unamaliza elimu ya form four unapewa cheti lakini unaanza tena kurudia form II.

Ndugu zanguni kuna shida kubwa sana kwenye mifumo yetu ya utawala. Na sijui nini kifanyike.

Kama ingekuwa computer au Simu basi virusi vikiingia suluhisho ni Factory Reset. Password zote za wizi na za Hackers zinafutika unaanza upya na kifaa kipya.

Engineer wa kifaa hichi( Tanzania) ni Tundu Lissu Pekee. Let him take the course.

Tutaendelea kupuyanga mpaka lini?
Suluhisho ni kuua mafisadi yote, inchi itanyooka hii.
 
Back
Top Bottom