Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #41
Inatia mashaka kama tunahujumiwa au la! Na nani huyo anatuhujum kama nchi?Bwawa la Nyerere linatoa suluhisho la mahitaji yetu ya umeme kwa sasa. Hakuna excuse. Maji yalijaa mpaka kumwagika, ili waongo wajitenge na wakweli.
Nina mashaka kama tumeandaa miundombinu sahihi ya kuutoa huo umeme na kuunganisha kwenye grid ya Taifa. Maana hata hatuelewi nini kinaendelea
Well, i think the answer correlated with what we are doing here. Malalamiko yetu ni feedback kwao kwamba haturidhishwi na uongozi waoTundu Lissu alijibu kwa kusisitiza wananchi kujikita katika mabadiliko ya kimfumo na kuacha kuangakia watu, mabadiliko ya kinfumo ambayo yatamlazimisha kiongozi yeyote afanye mambo wanavyotaka wananchi, apende asioende. Na zaidi, alisistiza kuwa suala la kuonhoza nchi ni suala shirikishi, wasiachiwe viongozi tu, viongozi wanahitaji kupewa feedback na hata kuwa ctiticized.
Kama mnataka katiba ili muwanyooshe basi hawataruhusu hilo litokee😀Nikirusi kipo katika mfumo kuanzia juu hadi chini! Hii nchi ni katiba na kwambia mafisadi watanyoka!
Hazikutoshi yaan kwa ufupi akiri zako ziko fwetuKuweni na uzaendo kwa nchi yenu. Mambo kama hayo siyo kuyaanika mitandaoni kwani nchi jirani zikiona zitatudharau. Mambo kama haya tuwe tunalalamika kwa kupigiana simu au kwenye magrupu ya kitanzania au kuwatumia ujumbe wakuu wa wilaya na mikoa
Tundu Lissu ni miongoni mwa viongozi wawazi kabisa, pengine atafaa, hata ukisoma alivyojibu swali hili utaona ame address tatizo la msingi.Hapa umenipa ukweli umeniuma.
Mkuu tuliambiwa na Mayor Quimby kwamba January na Chande ndio wanahujumu umeme. Haya leo yupo Biteko ila wapo kimya maana walituaminisha figisu zimeisha?Ndani ya miezi miwili Oktoba Novemba nimeshuhudia mgao wa umeme Arusha, Dar, Lindi, Mtwara, Pwani, Zanzibar
Walisema ni Makamba😀Mkuu tuliambiwa na Mayor Quimby kwamba January na Chande ndio wanahujumu umeme. Haya leo yupo Biteko ila wapo kimya maana walituaminisha figisu zimeisha?
Hapana aisee kuna tofauti kubwa kati ya Dikteta na Mzalendo.Watanzania tunaitaji kiongozi dikteta na mkola hii inaweza saidia
I can see your point, that is to say collective Approach.Tundu Lissu ni miongoni mwa viongozi wawazi kabisa, pengine atafaa, hata ukisoma alivyojibu swali hili utaona ame address tatizo la msingi.
Na Mario Vargas Llosa was probably overly pessimistic, au labda hali ya kwao Peru ni mbaya zaidi ya Tanzania. Bado kuna watu wazuri wachache wamo katika siasa, ila kuwatafuta ni kwa tochi, na ngazi ya kuoanda juu imejaa rushwa na uchafu. Tundu Lissu mpaka sasa hana major scandal to my knowledge.
Ila, kitu muhimu hapa ninachoasema ninkuwa, ninaasa tu, tunapotaka kutatua matatizo mengi na makubwa ya nchi yetu, hata tunapochagua viongozi tunaoona wanafaa, tusiwaachie mzigo na kusema "Tundu Lissu anatosha". Hatishi, inabidi asaidiwe, inabidi asimamiwe, inabidi akosolewe.
Tupate mawazo ya wengi hata yeye mwenyewe asibweteke kujiona anaweza kufanaya lolote analotaka.
Kumbuka wanatoa ushauri humu ni watanzania!Waafrika hasa watanzania wana upumbavu wa milele.
Watanzania wengi wana tabia ya uvivu wa kuchambua matatizo kimfumo, na wanapenda sana kutafuta mchawi, kutafuta mtu kama tatizo.Mkuu tuliambiwa na Mayor Quimby kwamba January na Chande ndio wanahujumu umeme. Haya leo yupo Biteko ila wapo kimya maana walituaminisha figisu zimeisha?
insightful idea.Watanzania wengi wana tabia ya uvivu wa kuchambua matatizo kimfumo, na wanaoenda sana kutafuta mchawi, kutafuta mtu kama tatizo.
Na hata kwenye kutafuta ufumbuzi wa matatizo ni hivyo hivyo.
Wana uvivu mkubwa wa kutafuta ufumbuzi wa kimfumo, wanapenda kutafuta ufumbuzi wa kumuweka mtu fulani sehemu fulani atatue matatizo.
Kuanzia wananchi wasio na dhamana ya uongozi mpaka rais.
Ndiyo maana teua tengua haziishi nchi hii.
Imefanya nini Grid?Shida ni gridi
Well saidTundu Lissu ni miongoni mwa viongozi wawazi kabisa, pengine atafaa, hata ukisoma alivyojibu swali hili utaona ame address tatizo la msingi.
Na Mario Vargas Llosa was probably overly pessimistic, au labda hali ya kwao Peru ni mbaya zaidi ya Tanzania. Bado kuna watu wazuri wachache wamo katika siasa, ila kuwatafuta ni kwa tochi, na ngazi ya kupanda juu imejaa rushwa na uchafu. Tundu Lissu mpaka sasa hana major scandal to my knowledge.
Ila, kitu muhimu hapa ninachoasema ni kuwa, ninaasa tu, tunapotaka kutatua matatizo mengi na makubwa ya nchi yetu, hata tunapochagua viongozi tunaoona wanafaa, tusiwaachie mzigo na kusema "Tundu Lissu anatosha". Hatoshi, inabidi asaidiwe, inabidi asimamiwe, inabidi akosolewe.
Tupate mawazo ya wengi hata yeye mwenyewe asibweteke kujiona anaweza kufanya lolote analotaka.
Naam,insightful idea.
Mtu mmoja hawezi kutatua matatizo ya Nchi.
Suluhisho ni kuua mafisadi yote, inchi itanyooka hii.Hii Nchi sasa inabidi ifanyiwe Factory Reset.
La sivyo hakuna kitu kitasimama hata tujikakamue vipi. Ni lazima mnyororo na mkondo wa Mafisadi ukomeshwe. Nani wa kuukomesha?
Mafisadi hawawezi kuukomesha. Likes dissolves like hii ni kanuni ya kikemia. Unachagua fisadi unamwingiza kwenye mfumo wa kifisadi hakuna matokeo.
Ndani ya miezi miwili Oktoba Novemba nimeshuhudia mgao wa umeme Arusha, Dar, Lindi, Mtwara, Pwani, Zanzibar.
Hali hii itaisha mpaka lini?
Serikali ya Tanzania imejizatiti chini ya Dr Magufuli kuhakikisha tunapata umeme wa uhakika. Yalisemwa mengi kwamba umeme utakuwa mwingi na mwingine utauzwa nje.
Ghafla bin vuu SGR umeme unasumbua sasa tunataka kununua Dizel😄😄😄😄
Unamaliza elimu ya form four unapewa cheti lakini unaanza tena kurudia form II.
Ndugu zanguni kuna shida kubwa sana kwenye mifumo yetu ya utawala. Na sijui nini kifanyike.
Kama ingekuwa computer au Simu basi virusi vikiingia suluhisho ni Factory Reset. Password zote za wizi na za Hackers zinafutika unaanza upya na kifaa kipya.
Engineer wa kifaa hichi( Tanzania) ni Tundu Lissu Pekee. Let him take the course.
Tutaendelea kupuyanga mpaka lini?