Mgao wa umeme umeturudisha zama za mawe za kale

Mgao wa umeme umeturudisha zama za mawe za kale

TheChoji

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2009
Posts
5,771
Reaction score
17,849
Imagine leo hii kila mtu ana TV na king'amuzi nyumbani, lakini tunalazimika wote kwenda kurundikana bar za vichochoroni zenye jenereta ili kuangalia mechi ya ufunguzi..!! Kwenye mitandao ya kijamii watu wanaulizana ni bar gani kuna jenereta watu wawahi siti.
 
Poleni sana.

Hivi mpango wa kufunga solar power sehemu kama Dar uko vipi?

Gharama, vibali n.k.

Pia, kwenye maji mpango wa kuvuna maji ya mvua na kuyaweka kwenye hifadhi ya nyumbani ukoje?
 
Imagine leo hii kila mtu ana TV na king'amuzi nyumbani, lakini tunalazimika wote kwenda kurundikana bar za vichochoroni zenye jenereta ili kuangalia mechi ya ufunguzi..!! Kwenye mitandao ya kijamii watu wanaulizana ni bar gani kuna jenereta watu wawahi siti.
Shida ni watanzania wenyewe wanavumilia wajinga wachache wakiwapa shida hi
 
Poleni sana.

Hivi mpango wa kufunga solar power sehemu kama Dar uko vipi?

Gharama, vibali n.k.

Pia, kwenye maji mpango wa kuvuna maji ya mvua na kuyaweka kwenye hifadhi ya nyumbani ukoje?
Tatizo solar ya kuendesha hivi vifaa vya kisasa nayo gharama juu.
 
Tatizo solar ya kuendesha hivi vifaa vya kisasa nayo gharama juu.
Gharama za juu ni zipi?

Ushafanya mahesabu ya matumizi ya umeme, solar power systems zinazoweza kukidhi haja na gharama zake?
 
Poleni sana.

Hivi mpango wa kufunga solar power sehemu kama Dar uko vipi?

Gharama, vibali n.k.

Pia, kwenye maji mpango wa kuvuna maji ya mvua na kuyaweka kwenye hifadhi ya nyumbani ukoje?
Hiyo kuvuna maji kuna baadhi ya watu wanafanya

Ila ni aibu kwa serikali hii ya ccm miaka 61 bado tatizo maji na umeme,bado hayo mengine

Ova
 
Hiyo kuvuna maji kuna baadhi ya watu wanafanya

Ila ni aibu kwa serikali hii ya ccm miaka 61 bado tatizo maji na umeme,bado hayo mengine

Ova
Serikali tunajua imeoza. Ndiyo maana nashangaa.

Hii ya kuvuna maji ya mvua kwa nini watu wengi hawafanyi?

Sehemu kama Dar, na most of Tanzania, zinapata mvua za kutosha.

Maji ya mvua yanaweza kuondoa sehemu kubwa ya shida ya maji.
 
Serikali tunajua imeoza. Ndiyo maana nashangaa.

Hii ya kuvuna maji ya mvua kwa nini watu wengi hawafanyi?

Sehemu kama Dar, na most of Tanzania, zinapata mvua za kutosha.

Maji ya mvua yanaweza kuondoa sehemu kubwa ya shida ya maji.
Yah,kama utajenga miundo mbinu yako ya kuvuna maji ya mvua,na kuyahifadhi sehemu ambayo yanaweza kuingia kwa uwingi basi hapo utakuwa umeondokana na shida

Ova
 
Back
Top Bottom