Mgao wa umeme unaivua nguo Serikali

Mgao wa umeme unaivua nguo Serikali

TheChoji

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2009
Posts
5,771
Reaction score
17,849
Hakuna haja ya salamu.

Unajua kuna vitu unaweza kupiga siasa, ukapiga porojo, ukatia nakshi nakshi, ukatetea nk na watu wakakuelewa. Ila inapokuja kwenye vitu ambavyo vinaonekana wazi na vinaathiri maisha ya watu MOJA KWA MOJA kunakua hakuna kiasi cha porojo, siasa, mbwembwe wala maneno matamu yanayosaidia!

Hivi ina maana nchi nzima hii ya Tanzania yenye Rais, Makamu wa rais wawili, Waziri mkuu, mawaziri, wabunge, maprofesa, mainjinia, wataalam, vyanzo vya maji vya kila aina, upepo, jua, gesi, nk yaani imeshindikana kabisa kwa miaka 60 sasa kuwa na umeme wa uhakika?

Hivi tuna kipi cha kujitetea, tuna maneno gani ya kuongea, tuna porojo zipi za kupiga kuonyesha ni sababu gani imepelekea mpaka leo hii nchi inaingia gizani? Na bila AIBU tanesco inatoa ratiba ya mgao wa umeme, as if ni kitu cha kawaida tu wala hakuna tatizo lolote.
 
Tatizo la Mgao wa umeme Tanzania ni lakutengenezwa. Namsifu sana MH Magufuli kwenye Utawala wake Aliwadhibiti sana Watengeneza Mgao wa Umeme.

Nakumbuka Alisema Kulikua na watu wanafungua maji kwenye bwawa la Mtera ili maji yapungue wapate Uhalai wa kusema maji yamepungua kwenye mabwawa ya kuzalisha Umeme ili wauze Majenereta yao.

Na ukweli kuna watu walifukuzwa pale tanesko na wote ni mashahidi kwa miaka 6 Ya utawala wake hakukuwa na Mgao wa Umeme.

Sasa Mama yetu Anawaamini sana wataalam wa tanesko bila kuwa na Uchunguzi wa Menejimenti nzima ya Tanesco.
 
Kwa zaidi ya miaka 60 ya Uhuru imeshindikana kuwa na uhakika wa kupata huduma ya umeme Na maji kwa Mwaka mzima?!

[emoji848][emoji848]

Kwamba tumeshindwa kujiongoza wenyewe?

Hivi wakoloni wanatuonaje?
 
Mtu unafany kazi kwa kutegemea umeme unafika kazin unakaa dk chache umeme unakata hiyo ni saa2 asbh, umeme unakuja kurudi saa 12 jion na hiyo ni sk 4 za wiki. Daah hii kitu inaumiza sana...
 
Huyo Mmama tunayemlalamikia Nahisi hata Unit moja Ya umeme Hajui ina cost shingapi.

Nafikiri Miaka ijayo Vizazi vijavyo vikiskia kulikuwaga na Migao ya Umeme na Maji watatushangaa san na Hat kututukana.

Ila anyway Hki kizazi cha hawa Wazee washenzi kizazi chao kufikia 2080 kitakuw kimeisha Chote na sisi wengineo ndo tutakuw tumeingia Uzeeni huko yamkin Tutashuhudia Uzuri wa Africa.
 
Hakuna haja ya salamu.

Unajua kuna vitu unaweza kupiga siasa, ukapiga porojo, ukatia nakshi nakshi, ukatetea nk na watu wakakuelewa. Ila inapokuja kwenye vitu ambavyo vinaonekana wazi na vinaathiri maisha ya watu MOJA KWA MOJA kunakua hakuna kiasi cha porojo, siasa, mbwembwe wala maneno matamu yanayosaidia!

Hivi ina maana nchi nzima hii ya Tanzania yenye Rais, Makamu wa rais wawili, Waziri mkuu, mawaziri, wabunge, maprofesa, mainjinia, wataalam, vyanzo vya maji vya kila aina, upepo, jua, gesi, nk yaani imeshindikana kabisa kwa miaka 60 sasa kuwa na umeme wa uhakika?

Hivi tuna kipi cha kujitetea, tuna maneno gani ya kuongea, tuna porojo zipi za kupiga kuonyesha ni sababu gani imepelekea mpaka leo hii nchi inaingia gizani? Na bila AIBU tanesco inatoa ratiba ya mgao wa umeme, as if ni kitu cha kawaida tu wala hakuna tatizo lolote.
Hivi 'Dipiweldi' hawadili na umeme pia, ili tuwape tu hili shirika letu? Au mnasemaje ndugu zangu?
 
Hivi 'Dipiweldi' hawadili na umeme pia, ili tuwape ptu hili shirika letu? Au mnasemaje ndugu zangu?
Kuna vitu vinatutia aibu sana kama taifa kiasi kwamba juhudi nyingine zote tunazofanya zinaonekana kazi bure
 
Hakuna haja ya salamu.

Unajua kuna vitu unaweza kupiga siasa, ukapiga porojo, ukatia nakshi nakshi, ukatetea nk na watu wakakuelewa. Ila inapokuja kwenye vitu ambavyo vinaonekana wazi na vinaathiri maisha ya watu MOJA KWA MOJA kunakua hakuna kiasi cha porojo, siasa, mbwembwe wala maneno matamu yanayosaidia!

Hivi ina maana nchi nzima hii ya Tanzania yenye Rais, Makamu wa rais wawili, Waziri mkuu, mawaziri, wabunge, maprofesa, mainjinia, wataalam, vyanzo vya maji vya kila aina, upepo, jua, gesi, nk yaani imeshindikana kabisa kwa miaka 60 sasa kuwa na umeme wa uhakika?

Hivi tuna kipi cha kujitetea, tuna maneno gani ya kuongea, tuna porojo zipi za kupiga kuonyesha ni sababu gani imepelekea mpaka leo hii nchi inaingia gizani? Na bila AIBU tanesco inatoa ratiba ya mgao wa umeme, as if ni kitu cha kawaida tu wala hakuna tatizo lolote.
Aliyepita alipuuza gesi akajikita kwenye umeme wa nguvu za maji ndo yanatupata sasa
 
Tatizo la Mgao wa umeme Tanzania ni lakutengenezwa. Namsifu sana MH Magufuli kwenye Utawala wake Aliwadhibiti sana Watengeneza Mgao wa Umeme.

Nakumbuka Alisema Kulikua na watu wanafungua maji kwenye bwawa la Mtera ili maji yapungue wapate Uhalai wa kusema maji yamepungua kwenye mabwawa ya kuzalisha Umeme ili wauze Majenereta yao.

Na ukweli kuna watu walifukuzwa pale tanesko na wote ni mashahidi kwa miaka 6 Ya utawala wake hakukuwa na Mgao wa Umeme.

Sasa Mama yetu Anawaamini sana wataalam wa tanesko bila kuwa na Uchunguzi wa Menejimenti nzima ya Tanesco.
Wakati wake mgao ulikuwepo acha kusema uongo
 
Huyo Mmama tunayemlalamikia Nahisi hata Unit moja Ya umeme Hajui ina cost shingapi.

Nafikiri Miaka ijayo Vizazi vijavyo vikiskia kulikuwaga na Migao ya Umeme na Maji watatushangaa san na Hat kututukana.

Ila anyway Hki kizazi cha hawa Wazee washenzi kizazi chao kufikia 2080 kitakuw kimeisha Chote na sisi wengineo ndo tutakuw tumeingia Uzeeni huko yamkin Tutashuhudia Uzuri wa Africa.
Wewe ndo hujui bei ya unit ya umeme maana yeye anapewa taarifa na wataalamu
 
Hivi Viongozi top wanakosa usingizi sababu ya hili tatizo sugu au wako na amani tu wao mambo shega tu?
 
Hiyo mikopo ya na trillions Kwanini isitumike kutatua tatizo la Umeme na maji ?
 
Kwa zaidi ya miaka 60 ya Uhuru imeshindikana kuwa na uhakika wa kupata huduma ya umeme Na maji kwa Mwaka mzima?!

[emoji848][emoji848]

Kwamba tumeshindwa kujiongoza wenyewe?

Hivi wakoloni wanatuonaje?
Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
Back
Top Bottom