Mgao wa umeme unaivua nguo Serikali

Mgao wa umeme unaivua nguo Serikali

Hivi 'Dipiweldi' hawadili na umeme pia, ili tuwape tu hili shirika letu? Au mnasemaje ndugu zangu?
Hili dude tuliwahi kuipa kampuni moja toka kwa Madiba ili iliendeshe. Matokeo yake ikaleta matatizo makubwa na ubabaishaji hadi Serikali ikaamua kuwatolea nje. DPW tuwaache tu waendelee kutuliza huko mwaloni.
 
Kwakweli huyu mama Hana uwezo kabisa wa uongozi, kila Kona wahuni wanapiga hujuma yeye Wala haelewi kitu
 
Mwaka jana wamelalamika mvua hamna,mwaka huu mvua zimenyesha sana.Sasa sijui watakuja na ngojera gani.

Bi Mkubwa akae akijua wahuni sio wa kucheka nao, mara vituo na miundo mbinu chakavu havifanyiwi mantainance, Bi Mkubwa kawapa hela mwaka umepita hamna kitu.
 
Huyo Mmama tunayemlalamikia Nahisi hata Unit moja Ya umeme Hajui ina cost shingapi

I agree 400%. Hajui unit ya umeme shiing ngapi. There is no way anajua.

Wakati LUKU zinaanzishwa Samia alikuwa mlamba asali tayari, Samia hajawahi maishani kwenda kibanda cha wakala kununua LUKU.

Na hapa ndio tunakosea, tunachagua watu ambao sio wenzetu, hawajawahi kuishi shida zetu.

Tuko kwenye depression, umeme hakuna, dollar hakuna, maji hakuna, petroli na diesel hazishikiki, familia zinalala njaa, absolute economic catastophe, Rais yuko busy kununua magoli ya wacheza mpira. Heartless kleptocrats.
 
Tatizo la Mgao wa umeme Tanzania ni lakutengenezwa. Namsifu sana MH Magufuli kwenye Utawala wake Aliwadhibiti sana Watengeneza Mgao wa Umeme.

Nakumbuka Alisema Kulikua na watu wanafungua maji kwenye bwawa la Mtera ili maji yapungue wapate Uhalai wa kusema maji yamepungua kwenye mabwawa ya kuzalisha Umeme ili wauze Majenereta yao.

Na ukweli kuna watu walifukuzwa pale tanesko na wote ni mashahidi kwa miaka 6 Ya utawala wake hakukuwa na Mgao wa Umeme.

Sasa Mama yetu Anawaamini sana wataalam wa tanesko bila kuwa na Uchunguzi wa Menejimenti nzima ya Tanesco.
Niko mtela bwawa la maji yamepungua sana hata kama Magufuli angekuwepo labda ange kojelea bwawa likajaa hili mgao uishe
 
Niko mtela bwawa la maji yamepungua sana hata kama Magufuli angekuwepo labda ange kojelea bwawa likajaa hili mgao uishe
Maji yameenda wapi? Au ngombe wamekunywa? Hivi jenereta bei gani
 
Niko mtela bwawa la maji yamepungua sana hata kama Magufuli angekuwepo labda ange kojelea bwawa likajaa hili mgao uishe


Angekuja na mbadala wa ufumbuzi wa tatizo.

Asingepata usingizi hadi ufumbuzi wa tatizo la kukosekana Kwa Umeme na maji lipatikane.
 
Watanzania mlishazoea mgao...endeleeni kusema mama anaupiga mwingi..magufuli alisema iko siku mtamkumbuka...yaani Magufuli asafishe halafu mama awarudishe kazini wapiga dili wakiongozwa na makamba unategemea nini.Mgao wa umeme Tanzania ni COOKED fully stop. .Biteko ndio kwanza kaingia hana kosa kijana wa watu ila anakazi kubwa ya kusafisha ufisadi na madudu ya mtangulizi wake
 
Hakuna haja ya salamu.

Unajua kuna vitu unaweza kupiga siasa, ukapiga porojo, ukatia nakshi nakshi, ukatetea nk na watu wakakuelewa. Ila inapokuja kwenye vitu ambavyo vinaonekana wazi na vinaathiri maisha ya watu MOJA KWA MOJA kunakua hakuna kiasi cha porojo, siasa, mbwembwe wala maneno matamu yanayosaidia!

Hivi ina maana nchi nzima hii ya Tanzania yenye Rais, Makamu wa rais wawili, Waziri mkuu, mawaziri, wabunge, maprofesa, mainjinia, wataalam, vyanzo vya maji vya kila aina, upepo, jua, gesi, nk yaani imeshindikana kabisa kwa miaka 60 sasa kuwa na umeme wa uhakika?

Hivi tuna kipi cha kujitetea, tuna maneno gani ya kuongea, tuna porojo zipi za kupiga kuonyesha ni sababu gani imepelekea mpaka leo hii nchi inaingia gizani? Na bila AIBU tanesco inatoa ratiba ya mgao wa umeme, as if ni kitu cha kawaida tu wala hakuna tatizo lolote.
Wacha mama aupige mwingi,tutanyooka tu!
 
Shirika wazawa kuliendesha limetushinda heri libinashishwe waje wazungu tu waliendeshe kwa mwendo huu hapana
 
Sasa viongozi wanafanya nini kama wameshindwa kutatua tatizo dogo tu la umeme? Huko si kuvuliwa nguo hadharani?
Ukiwauliza watakujibu kirahisi tu.
'atafutwe muwekezaji kutoka Dubai'
Watu wamekalia viti kufikiri hawataki. Wanataka muarabu aje awafikirie na kuwapa rushwa.
 
I agree 400%. Hajui unit ya umeme shiing ngapi. There is no way anajua.

Wakati LUKU zinaanzishwa Samia alikuwa mlamba asali tayari, Samia hajawahi maishani kwenda kibanda cha wakala kununua LUKU.

Na hapa ndio tunakosea, tunachagua watu ambao sio wenzetu, hawajawahi kuishi shida zetu.

Tuko kwenye depression, umeme hakuna, dollar hakuna, maji hakuna, petroli na diesel hazishikiki, familia zinalala njaa, absolute economic catastophe, Rais yuko busy kununua magoli ya wacheza mpira. Heartless kleptocrats.
Kama Nchi inabidi Ifike mahali Tukubali tu Kwamba Kiongozi wa Nchi Hii Nchi imemzidi Nguvu hebu 2025 akae Kando Tu Kupisha Aibu ndogo ndog Kam hizi
 
Sasa viongozi wanafanya nini kama wameshindwa kutatua tatizo dogo tu la umeme? Huko si kuvuliwa nguo hadharani?
Tunaenda sambamba na ukosefu wa maji
Screenshot_20230916-221045_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom