Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Mimi nimethibitisha hili, pasi shakaVitu kama hivi ndio hufanya mtu unaanza kuwaza labda huenda ni kweli sisi waafrika sio binadamu kamili [emoji3525]
Hili dude tuliwahi kuipa kampuni moja toka kwa Madiba ili iliendeshe. Matokeo yake ikaleta matatizo makubwa na ubabaishaji hadi Serikali ikaamua kuwatolea nje. DPW tuwaache tu waendelee kutuliza huko mwaloni.Hivi 'Dipiweldi' hawadili na umeme pia, ili tuwape tu hili shirika letu? Au mnasemaje ndugu zangu?
mbona hao Wataalamu Walishindwa Kumwambia kuhus Ile Picha ya Bendera ya Kenya Kuwekwa kweny ule mnara Dubai, akalopoka Uongo akapata AibuWewe ndo hujui bei ya unit ya umeme maana yeye anapewa taarifa na wataalamu
Huyo Mmama tunayemlalamikia Nahisi hata Unit moja Ya umeme Hajui ina cost shingapi
Niko mtela bwawa la maji yamepungua sana hata kama Magufuli angekuwepo labda ange kojelea bwawa likajaa hili mgao uisheTatizo la Mgao wa umeme Tanzania ni lakutengenezwa. Namsifu sana MH Magufuli kwenye Utawala wake Aliwadhibiti sana Watengeneza Mgao wa Umeme.
Nakumbuka Alisema Kulikua na watu wanafungua maji kwenye bwawa la Mtera ili maji yapungue wapate Uhalai wa kusema maji yamepungua kwenye mabwawa ya kuzalisha Umeme ili wauze Majenereta yao.
Na ukweli kuna watu walifukuzwa pale tanesko na wote ni mashahidi kwa miaka 6 Ya utawala wake hakukuwa na Mgao wa Umeme.
Sasa Mama yetu Anawaamini sana wataalam wa tanesko bila kuwa na Uchunguzi wa Menejimenti nzima ya Tanesco.
Maji yameenda wapi? Au ngombe wamekunywa? Hivi jenereta bei ganiNiko mtela bwawa la maji yamepungua sana hata kama Magufuli angekuwepo labda ange kojelea bwawa likajaa hili mgao uishe
Niko mtela bwawa la maji yamepungua sana hata kama Magufuli angekuwepo labda ange kojelea bwawa likajaa hili mgao uishe
Wacha mama aupige mwingi,tutanyooka tu!Hakuna haja ya salamu.
Unajua kuna vitu unaweza kupiga siasa, ukapiga porojo, ukatia nakshi nakshi, ukatetea nk na watu wakakuelewa. Ila inapokuja kwenye vitu ambavyo vinaonekana wazi na vinaathiri maisha ya watu MOJA KWA MOJA kunakua hakuna kiasi cha porojo, siasa, mbwembwe wala maneno matamu yanayosaidia!
Hivi ina maana nchi nzima hii ya Tanzania yenye Rais, Makamu wa rais wawili, Waziri mkuu, mawaziri, wabunge, maprofesa, mainjinia, wataalam, vyanzo vya maji vya kila aina, upepo, jua, gesi, nk yaani imeshindikana kabisa kwa miaka 60 sasa kuwa na umeme wa uhakika?
Hivi tuna kipi cha kujitetea, tuna maneno gani ya kuongea, tuna porojo zipi za kupiga kuonyesha ni sababu gani imepelekea mpaka leo hii nchi inaingia gizani? Na bila AIBU tanesco inatoa ratiba ya mgao wa umeme, as if ni kitu cha kawaida tu wala hakuna tatizo lolote.
Upo apo signboard imeandikwa Mtela ?Niko mtela
Ukiwauliza watakujibu kirahisi tu.Sasa viongozi wanafanya nini kama wameshindwa kutatua tatizo dogo tu la umeme? Huko si kuvuliwa nguo hadharani?
Kama Nchi inabidi Ifike mahali Tukubali tu Kwamba Kiongozi wa Nchi Hii Nchi imemzidi Nguvu hebu 2025 akae Kando Tu Kupisha Aibu ndogo ndog Kam hiziI agree 400%. Hajui unit ya umeme shiing ngapi. There is no way anajua.
Wakati LUKU zinaanzishwa Samia alikuwa mlamba asali tayari, Samia hajawahi maishani kwenda kibanda cha wakala kununua LUKU.
Na hapa ndio tunakosea, tunachagua watu ambao sio wenzetu, hawajawahi kuishi shida zetu.
Tuko kwenye depression, umeme hakuna, dollar hakuna, maji hakuna, petroli na diesel hazishikiki, familia zinalala njaa, absolute economic catastophe, Rais yuko busy kununua magoli ya wacheza mpira. Heartless kleptocrats.
Tunaenda sambamba na ukosefu wa majiSasa viongozi wanafanya nini kama wameshindwa kutatua tatizo dogo tu la umeme? Huko si kuvuliwa nguo hadharani?
E bana ee... kwahiyo upungufu wa maji unapelekea tatizo la umeme na upungufu wa umeme unapelekea tatizo la maji..! Hii nchi hii..🙆♀️Tunaenda sambamba na ukosefu wa maji
View attachment 2751556