Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu hajawahi kuridhika.The world is not enough.Kanisa likikuwa moja hapo awali, ilikuwaje tukapata mgawanyiko.? Mfano😛entekoste, Orthodox na roman catholic, wasabato, nk.
Mwenye uelewa atujuze.
Kanisa ni vitega uchumi sio nyumba za ibaada, ukristo sio dini tena. Wakristo wenye angalau ni SDA tu.Kanisa likikuwa moja hapo awali, ilikuwaje tukapata mgawanyiko.? Mfano😛entekoste, Orthodox na roman catholic, wasabato, nk.
Mwenye uelewa atujuze.
Yani we dini ujui hata kidogo.Kanisa likikuwa moja hapo awali, ilikuwaje tukapata mgawanyiko.? Mfano😛entekoste, Orthodox na roman catholic, wasabato, nk.
Mwenye uelewa atujuze.
SDA ni wakristo au ni wayahudi wa zama hizi?Kanisa ni vitega uchumi sio nyumba za ibaada, ukristo sio dini tena. Wakristo wenye angalau ni SDA tu.
pwenthapana,sababu kubwa ni kutofautiana uelewa wa kuichambua/kuisoma bibilia
pili,ni hisia za mwanadamu mfano yule king charles wa pili na kanisa lake la pentakonte i think
tatu,ni aina za mafundisho ya viongozi/wachungaji ambapo ni kama addition ya point ya mwanzo.
nne,zama/vipindi
tano,dola/ukanda/mfano ukienda italy wengi ni roman ila ukienda uengereza kuna luther
yote kwa yote,viongozi na uelewa wao juu ya neno ndiyo sababu ya mkanganyiko...kuna watu wanaamini mungu ni mkuu na kuna wengine wanaamini mungu ni mwanadamu.
Wasabato ni wakiristo maana neno SDA kirefu chake ni seventh day Adventist watu wanao mngojea Yesu Mara ya pili na wanashika amri za Mungu na amani ya Yesu .Ufun 14:12SDA ni wakristo au ni wayahudi wa zama hizi?
Seventh Day(7)ni smply siku ya saba/sabato.Sasa hapo wanajinasibishaje na Ukristu na si uyahudi?Wasabato ni wakiristo maana neno SDA kirefu chake ni seventh day Adventist watu wanao mngojea Yesu Mara ya pili na wanashika amri za Mungu na amani ya Yesu .Ufun 14:12
kwanini wajiite wasabato , kwanini wasijiite majina mengine kupitia amri za MUNGU kama usiue, usiibe, usiseme uongo, maana WASABATO jina zaidi limelenga siku ya kupumzika na kuabudu ikiwa ni miongoni mwa amri za MUNGU, sijui nimeeleweka?.Wasabato ni wakiristo maana neno SDA kirefu chake ni seventh day Adventist watu wanao mngojea Yesu Mara ya pili na wanashika amri za Mungu na amani ya Yesu .Ufun 14:12
Kanisa likikuwa moja hapo awali, ilikuwaje tukapata mgawanyiko.? Mfano😛entekoste, Orthodox na roman catholic, wasabato, nk.
Mwenye uelewa atujuze.