johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Inauma sana mkuu!.Hakuna kilichobadilika na kama kuna mabadiliko basi ni kidogo sana.Ebu fikiri kidogo Msukuma ni mbunge tegemeo,Kibajaji bila yeye mambo hayaendi.
Nimekuelewa bwashee.Hakuna kilichobadilika na kama kuna mabadiliko basi ni kidogo sana.Ebu fikiri kidogo Msukuma ni mbunge tegemeo,Kibajaji bila yeye mambo hayaendi.
Mwenyekiti wa chama kimoja cha siasa alitamka mara tatu, “nileteeni Gwajima “. Siasa Tanzania.Inauma sana mkuu!..
Imagine Gwajima anakuwa mshenga wa kumleta lowasa chadema alafu mambo yanakuwa kichwa chini miguu juu!
Saana,Mwenyekiti wa chama kimoja cha siasa alitamka mara tatu, “nileteeni Gwajima “. Siasa Tanzania.
Dah! Nchi ngumu hiiHapo nchi ni Kenya tuu, kwa sababu ya mfumo thabiti wa utawala wenye kufuata sheria na haki za raia.
Uganda ipo taabani kwa sababu ya vita kadhaa za miaka ya nyuma, sambamba na udikteta.
Tanzania ipo na inaelekea pabaya kwa sababu tulianza kupata viongozi wa hovyo, wazandiki, wabinafsi na wasio na maono tangu Uhuru mpaka leo.
Rwanda angalau wanajua nini wanafanya.
Burundi & S. Sudani ni bora ziuzwe kwa USA ziwe military bases.
Ni kweli kabisa. Walijua wakishatupa makao makuu ya Jumwia tutafurahi sana na kuridhika sana. Viwanda viende kwao Kenya na elimu Uganda. Hili jambo limeacha legacy mbaya sana mpaka leo. Hata jumuia iliporudi mara ya pili, wakajua sisi tutakomaa na makao makuu na wakatupa ostensibly kwa kuwa tayari tulikuwa na advantage ya miundo mbinu ya kiofisi. Ila, tufunguke watanzania, wenzetu wana advantages kwenye manufacturing, skills, exposure, na negotiation skills- world class. Sisi tuna advantages za ardhi, natural resources, good climate, na a big hinterland. Lazima tujue tunapambana na kitu gani na tusiende kichwa kichwa tu.Ni ile Jumuiya ya Afrika mashariki iliyokufa mwaka 1977.
Tanzania tuliaminiwa katika mambo ya siasa na porojo baada ya kupata Uhuru mezani bila ya mapambano.
Kenya iliaminiwa katika eneo la uzalishaji na viwanda
Uganda iliaminiwa katika eneo la Elimu
Je, tumebadilika?
Jumaa kareem!
Inauma sana mkuu!.
Imagine Gwajima anakuwa mshenga wa kumleta lowasa chadema alafu mambo yanakuwa kichwa chini miguu juu!
Hovyo sana.. Uganda elimu iko wapi njoo ujionee...Ni ile Jumuiya ya Afrika mashariki iliyokufa mwaka 1977.
Tanzania tuliaminiwa katika mambo ya siasa na porojo baada ya kupata Uhuru mezani bila ya mapambano.
Kenya iliaminiwa katika eneo la uzalishaji na viwanda
Uganda iliaminiwa katika eneo la Elimu
Je, tumebadilika?
Jumaa kareem!
Zamani ukisoma Makerere unatembea kifua mbele bwashee!Hovyo sana.. Uganda elimu iko wapi njoo ujionee...
Mambo bado ni yale yaleNi ile Jumuiya ya Afrika mashariki iliyokufa mwaka 1977.
Tanzania tuliaminiwa katika mambo ya siasa na porojo baada ya kupata Uhuru mezani bila ya mapambano.
Kenya iliaminiwa katika eneo la uzalishaji na viwanda
Uganda iliaminiwa katika eneo la Elimu
Je, tumebadilika?
Jumaa kareem!
Tena ndiyo hali imekuwa ngumu zaidiHakuna kilichobadilika na kama kuna mabadiliko basi ni kidogo sana. Hebu fikiri kidogo Msukuma ni mbunge tegemeo, kibajaji bila yeye mambo hayaendi.
Sifa za mbunge ni zile zile hadi leo!Tena ndiyo hali imekuwa ngumu zaidi
Mwingine akatangaza atakuwa waziri mkuu ndani ya masaa 72!Saana,
Mwingine alishangaza sana. Eti amemuweka Amsterdam awe anampigania na awe mwanamikakati wa kumpeleka ikulu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Vituko havijawahi kuisha hapa tz.
Hahahaaaa........mwingine anasema hayati alimchukia sana!Mwingine akatangaza atakuwa waziri mkuu ndani ya masaa 72!
Zamani hiyo! Mleta aende akajionee japo chuo si kibaya kivile.. Siasa imengia pale chuoni.Zamani ukisoma Makerere unatembea kifua mbele bwashee!
Kama Udsm?Zamani hiyo! Mleta aende akajionee japo chuo si kibaya kivile.. Siasa imengia pale chuoni.