Izzi
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 553
- 1,144
Hello great thinkers,
Mimi ni Mjasiriamali, na naingia rasmi katika ulimwengu wa startups. Sasa kuna jambo moja linanitatiza, nikaona kabla ya sijamtafuta mwanasheria nijaribu kupata maarifa toka kwa great thinkers.
Ni hivi; Nina kampuni mpya, directors tupo wawili - tumeamua kuwa tugawane ownership equally kwa 30%. Na 40% inayobaki itumike kwa uendeshaji wa kampuni. I mean pamoja na Mambo mengine tunafahamu kuwa along the way tutahitaji watu - na kwa kuwa hatuna mtaji wa kutosha it's obvious tutawalipa kwa 'equity' ndo hiyo 40%.
SWALI: Kwenye memart hiyo 40% inakaaje: How do you precisely indicate those 40% of shares, Who is the owner and hence who will sign.
Thanks in advance, naomba kuwasilisha.
#Virus
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni Mjasiriamali, na naingia rasmi katika ulimwengu wa startups. Sasa kuna jambo moja linanitatiza, nikaona kabla ya sijamtafuta mwanasheria nijaribu kupata maarifa toka kwa great thinkers.
Ni hivi; Nina kampuni mpya, directors tupo wawili - tumeamua kuwa tugawane ownership equally kwa 30%. Na 40% inayobaki itumike kwa uendeshaji wa kampuni. I mean pamoja na Mambo mengine tunafahamu kuwa along the way tutahitaji watu - na kwa kuwa hatuna mtaji wa kutosha it's obvious tutawalipa kwa 'equity' ndo hiyo 40%.
SWALI: Kwenye memart hiyo 40% inakaaje: How do you precisely indicate those 40% of shares, Who is the owner and hence who will sign.
Thanks in advance, naomba kuwasilisha.
#Virus
Sent using Jamii Forums mobile app