Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na wewe. Wazungu wanaonekana kufanya vizuri kwakuwa wanaingiza tumu nyingi hivyo probably inawabeba. Kwenye timu 15 walizoingia nazo kwenye hatua ya 16 karibia nusu zimetokaNani alipitisha kama ulaya wanajua zaidi wapewe 13,mimi naona America kusini wanajua zaidi
Nani alipitisha kama ulaya wanajua zaidi wapewe 13, mimi naona America kusini wanajua zaidi
Ukitoa Brazil na Argentina, ni timu gani Amerika Kusini ya kutwa kombe? Au hata kufika fainali?Nani alipitisha kama ulaya wanajua zaidi wapewe 13,mimi naona America kusini wanajua zaidi
Wingi sio hoja,South Amerika wanaingiza timu 5 lakini wanafanya vizuriNakubaliana na wewe. Wazungu wanaonekana kufanya vizuri kwakuwa wanaingiza tumu nyingi hivyo probably inawabeba. Kwenye timu 15 walizoingia nazo kwenye hatua ya 16 karibia nusu zimetoka
Ukitoa Brazil na Argentina, ni timu gani Amerika Kusini ya kutwa kombe? Au hata kufika fainali?
Unapiga simu?Wewe ni nani?
ulaya wametwaa hilo kombe mara nyingi,inafuata amerika kusini, tuliobaki we unaona mwenyeweNani alipitisha kama ulaya wanajua zaidi wapewe 13,mimi naona America kusini wanajua zaidi
brazili mara 5, argentina mara 2,uruguay mara 2Uruguay imetwaa kombe, Mexico ilifika fainali, uruguay ilicheza fainali tena
Brazil imechukua mara sita ukijumlisha na mwaka huu
Hapana, najaza dodoso la sensaUnapiga simu?
Urugay imechukua kombe mwaka 1950😂😂Uruguay imetwaa kombe, Mexico ilifika fainali, uruguay ilicheza fainali tena
Brazil imechukua mara sita ukijumlisha na mwaka huu
na 1930,bingwa wa kwanza wa wcUrugay imechukua kombe mwaka 1950😂😂
Nani alipitisha kama ulaya wanajua zaidi wapewe 13,mimi naona America kusini wanajua zaidi
Usiku woote huu...!?Unapiga simu?
Itali mara 4Ulaya waliotwa wc
ujeruman mara 4
ufaransa mara 3
uingereza mara 1
italy
hispania
Kama kn niliyosahau ,mtaweka
Huku afrika ikiwalishwa na misrina 1930,bingwa wa kwanza wa wc
Vigezo ni wastani wa pointi kwenye msimamo wa FIFA na pia wingi wa nchi kwenye bara husika. Ni kweli nchi za Amerika ya kusini ziko vizuri kisoka lakini pia ziko chache kulinganisha na Ulaya.Nani alipitisha kama ulaya wanajua zaidi wapewe 13,mimi naona America kusini wanajua zaidi
Wako wangapi nusu fainali au wangapi waliingia robo tu?Nani alipitisha kama ulaya wanajua zaidi wapewe 13,mimi naona America kusini wanajua zaidi