Waka Waka
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 1,333
- 2,076
Habari,
Hali ya mgawo wa umeme imerejea kwa kasi sana ni wiki tangu kuanza kwa changamoto hii. Ndani ya jiji la Dar es Salaam wilaya ya kinondoni hali sio nzuri.
Watanganyika tulijua baada ya Bwawa kukamilika ingekua ni mwarobaini tosha ya kukatika katika huku. TANESCO wilaya wametenga masaa 12 ndio warejeshe umeme kila wanapo kati umeme. Hii ni mbaya kwa uchumi wa Tanganyika hii.
Kuna tetesi pia kua Tanganyika inauza umeme Zambia huko hali yao sio poa kabisa. Kama mnauza mmeamua sisi tuteseke?
TANESCO tunaomba mtutangazie ratiba kamili kuhusu mgawo huu.
Kwa maana fupi BWAWA LA MWL NYERERE sio mkombozi kwa taifa.
ASANTE.
Hali ya mgawo wa umeme imerejea kwa kasi sana ni wiki tangu kuanza kwa changamoto hii. Ndani ya jiji la Dar es Salaam wilaya ya kinondoni hali sio nzuri.
Watanganyika tulijua baada ya Bwawa kukamilika ingekua ni mwarobaini tosha ya kukatika katika huku. TANESCO wilaya wametenga masaa 12 ndio warejeshe umeme kila wanapo kati umeme. Hii ni mbaya kwa uchumi wa Tanganyika hii.
Kuna tetesi pia kua Tanganyika inauza umeme Zambia huko hali yao sio poa kabisa. Kama mnauza mmeamua sisi tuteseke?
TANESCO tunaomba mtutangazie ratiba kamili kuhusu mgawo huu.
Kwa maana fupi BWAWA LA MWL NYERERE sio mkombozi kwa taifa.
ASANTE.