Mgawo wa Umeme umerudi upya baada ya kukamilika kwa Bwawa la Mwalimu Nyerere?

Mgawo wa Umeme umerudi upya baada ya kukamilika kwa Bwawa la Mwalimu Nyerere?

Ili nchi iendelee inaglhitaji.
1.Watu
2 Ardhi.
3 Siasa safu.
4.Uongozi Bora.

Mwalimu Jk Nyerere.
 
Niko Kigamboni, eneo ninaloishi umeme unakatika hata mara tatu kwa siku ila hauzidi dakika 10 unarudi. Pia tulikuwa na tatizo kubwa la low voltage limeisha sasa. Sikumbuki mara ya mwisho ni lini umeme ulikatika kwa muda mrefu. Kwa mara yavkwanza naweza kusema Tanesco wanajitahidi.
Wewe una shida gani na hilo bonge la stendby generator?
 
Nilipo hakuna huo mgao wala sijausikia,kwani hilo bwawa hata kama limekamilika haiwezi kutokea hitilafu nyingine itakayosababisha umeme kukatika?
Hakika ni mapema kwa hitilafu hii. Sisi tunataka taarifa.tu
 
Ni muhimu taarifa kwa wateja wake.
Sasa hapo tatizo sio umeme kutokuwepo Bali njia za kusafirisha umeme na mashine umba ndio Hazina uwezo na ndio kazi ambayo Tanesco inafanya Kwa Sasa Nchi nzima kubadili nyaya na transformer ziendane na mahitaji.
 
Hua wana Anza hv hv!! Mala ukame,mala marekebisho!! Kisha MGAO!!
 
Tunaomba Serikali kuhusu UMEME wapeni watu binafsi kama mulivyofanya lines za simu na umeme fanyeni hivyo hivyo .Umeme kwa kweli UMEWASHINDAAA Na huwezi kuwa na Maendeleo katika nchi kama huna Energy ya UHAKIKA.Hawezi kuja muekezaji hapa bila ya kuwa vitu hivyo vya uhakika tena standard sio kuzidi na kushuka .Dubai umeme na maji hayakatiki.Ndio maana wanaendelea.
 
Tunaomba Serikali kuhusu UMEME wapeni watu binafsi kama mulivyofanya lines za simu na umeme fanyeni hivyo hivyo .Umeme kwa kweli UMEWASHINDAAA Na huwezi kuwa na Maendeleo katika nchi kama huna Energy ya UHAKIKA.Hawezi kuja muekezaji hapa bila ya kuwa vitu hivyo vya uhakika tena standard sio kuzidi na kushuka .Dubai umeme na maji hayakatiki.Ndio maana wanaendelea.
Kumpatia mtu aendeshe hawawezi kukubali ndiko wanako patia magumashi yao. Ila ingekua sahihi MNO.
 
Back
Top Bottom