S Smart Dude Senior Member Joined Sep 23, 2023 Posts 114 Reaction score 161 Sep 16, 2024 #41 Waka Waka said: Kwa kigamboni sw.lakini kinondoni wakikata ni masaa 12. Na bila taarifa kiongozi. Click to expand... Follow ukurasa wa instagram wa Tanesco. Huwa wanatoa taarifa. Mfano jana wametoa kuhusu kinondon na sababu
Waka Waka said: Kwa kigamboni sw.lakini kinondoni wakikata ni masaa 12. Na bila taarifa kiongozi. Click to expand... Follow ukurasa wa instagram wa Tanesco. Huwa wanatoa taarifa. Mfano jana wametoa kuhusu kinondon na sababu
FRANCIS DA DON JF-Expert Member Joined Sep 4, 2013 Posts 38,920 Reaction score 44,970 Sep 16, 2024 #42 Labda kuna changamoto kwenye mfumo wa usambazaji umeme, ila kwa upanda wa uzalishaji umeme unatosha.
J james bendui JF-Expert Member Joined Dec 3, 2015 Posts 693 Reaction score 690 Sep 16, 2024 #43 Kila maendeleo yanachangomoto zake ila naiman bada ya mwaka swala la umeme tutasahau
Demi JF-Expert Member Joined Nov 22, 2016 Posts 40,466 Reaction score 88,695 Sep 16, 2024 #44 Waka Waka said: Taarifa ni muhimu tu kwa umma Click to expand... Jiongezeni...sasa hivi jua kali
Waka Waka JF-Expert Member Joined Aug 16, 2024 Posts 1,333 Reaction score 2,076 Sep 16, 2024 Thread starter #45 Mpk sasa ni saa 3:13 tarehe 16-9-2024. Hujarudi umeme.
Waka Waka JF-Expert Member Joined Aug 16, 2024 Posts 1,333 Reaction score 2,076 Sep 16, 2024 Thread starter #46 Demi said: Jiongezeni...sasa hivi jua kali Click to expand... Oh okay sw.
Waka Waka JF-Expert Member Joined Aug 16, 2024 Posts 1,333 Reaction score 2,076 Sep 16, 2024 Thread starter #47 james bendui said: Kila maendeleo yanachangomoto zake ila naiman bada ya mwaka swala la umeme tutasahau Click to expand... Liwe kweli.
james bendui said: Kila maendeleo yanachangomoto zake ila naiman bada ya mwaka swala la umeme tutasahau Click to expand... Liwe kweli.