Mgawo wa Umeme wasitishwa, utafiti mpya umeona hauhitajiki kama awali

Miaka 60 ya uhuru bado kuna mgao
 
Mbona nilikujibu Mkuu Nyani? Inawezekana kufanya maintenance ya kawaida bila kusitisha huduma. Tanesco hawawezi kufanya hivyo kwa sababu inaendeshwa kisiasa na sio kitaaluma. Uamuzi wa lini wafanye maintenance sio wao ni wa wanasiasa.
Wao na binamu zao ATCL wako chungu kimoja. Ndege hazikununuliwa kwa sababu za kibiashara bali kutuliza ego ya wanasiasa.

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…