Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Watuwekee ripoti ya huo utafiti nasi tusome. Itatusaidia kama reference mbele ya safari.Ni usanii mtupu, huo utafiti ni upi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watuwekee ripoti ya huo utafiti nasi tusome. Itatusaidia kama reference mbele ya safari.Ni usanii mtupu, huo utafiti ni upi?
Fidelis Castro medula oblangata Kama hizi, alikuwa anakula shaba.Hizi sifa za kipuuzi kabisa.
Kwa namna hii, nchi itaendelea kuwa chakavu milele.
Safi Mama Samia...Tanesco wasimamiwe vizuri.
Safi ya nini sasa wewe bendera fuata upepo. Haingii akilini wanatengeneza tatizo halafu wanalitatua wenyewe ili wananchi waone kuwa viongozi wana huruma na wanyonge kumbe ni 0.Safi Mama Samia...Tanesco wasimamiwe vizuri.
Sasa unaelewa kwa nini mitambo haifanyiwi service au maintenance? Political expediency kwa kwenda mbele.Touché!
Umeme umekatika toka asubuhi!
Hamna cha makachero. Wakina Makamba walikuwa sahihi. Hapa ama tunarudi kule ambako neno mgao liliacha kutumika wakati umeme ulikuwa unakatwa. Au tatizo limesogezwa mbele lakini bado limebakia kuwa tatizo. Gharama ya kufanya hivi tutaijua huko mbeleni.Kwa hiyo Maharage, Makamba na bodi yao ya akina Gachuma walikurupuka kuanzisha mgao mkali wa umeme nchi nzima kwa sababu mitambo mingi ya kufua umeme ni mibovu, chakavu na ni ya mingi? Kwamba mitambo hii inatakiwa kuwa replaced na mipya. Na kwamba hata huko Songosongo mitambo ya kufua gesi ya kampuni binafsi ya Songas nguvu yake haikidhi mahitaji na inatakiwa kufungwa mingine kuiongeza nguvu. Na kwamba kutakuwa na upungufu wa 350 MW kwenye grid ya taifa.
Mama katuma makachero wake na kugundua kuwa si kweli na kuwaagiza hataki kusikia mchezo huo la sivyo atawatumbua. Ndiyo sasa wanatuambia kwamba kamati yao ya watalaam wamefanya utafiti na kubaini kwamba hakutakuwa na upungufu wa maana wa umeme wakati wa zoezi hili la normal maintanance ya mitambo. Upungufu kidogo usiozidi 100 MW utaweza kuwa absolved kirahisi na mfumo. Hivyo hakutakuwa na mgawo.
Sasa kwa situation kama hii kwa nini Maharage, Makamba na bodi yake wasiachie ngazi for gross incompetency? Yaani hadi Maharage anasema kwamba masuala haya ni ya sayansi na engineering. Yaani kwake engineering siyo sayansi. Engineering is separate from science! Huu ni Uswahili mtupu.
Kwa hiyo Maharage, Makamba na bodi yao ya akina Gachuma walikurupuka kuanzisha mgao mkali wa umeme nchi nzima kwa sababu mitambo mingi ya kufua umeme ni mibovu, chakavu na ni ya mingi?...
Ifanyiwe maintenance au isifanyiwe, hiyo siyo sababu ya kusababisha migao.Sasa unaelewa kwa nini mitambo haifanyiwi service au maintenance? Political expediency kwa kwenda mbele.
Amandla...
[Color= red]✓Hatashituka ikifika mwaka 2025Huyo mama na makachero wapi na wapi? Wameona mitandao watu wanavyolalamika basi wakashituka! Huyo mama kama angekuwa mfatiliaji wa mambo tokea makamba aingie kashafanya ujinga mwingi wa hali ya juu ikiwa ni pamoja na mikataba ya ovyo ovyo!
CCM ni kansaKwa sababu Kalemani alilimaliza kabisa tatizo la mgao wa umeme naamini January Makamba baada ya haya matengenezo anayoyafanya kwa siku 10 siyo tu mgai utakuwa historia bali hata kiwango cha umeme unaozalishwa kitaongezeka.
Kadhalika kwa sababu sasa umeme utakuwa haupotei baada ya miundombinu kukarabatiwa ni wazi bei ya umeme mitashuka.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!