Mgawo wa Umeme wasitishwa, utafiti mpya umeona hauhitajiki kama awali

Mgawo wa Umeme wasitishwa, utafiti mpya umeona hauhitajiki kama awali

Kwaiyo mwanzo walifanya maamuzi pasipo kufanya tafiti?
Hili linchi lina viongozi baadhi ni .....
 
Akiwa bungeni, Naibu waziri wa Nishati, Stephen Byabato ametangaza kusitisha mgao uliotangazwa awali kwa madai kwamba hauhitajiki baada ya kufanya utafiti huku wakiwa wamepokea maelekezo kutoka kwa Rais Samia kwamba mgao usiwe mkali kama ilivyotangazwa.

Kupungua kwa matumizi ya umeme, mvua zinazoendelea na kutumia mitambo ya TPDC kwenye gesi vimetajwa kama sababu ya kuuhairisha.

=========

Mbunge: Katakata ya umeme inayoendelea na mgao wa umeme unaoendelea hivi sasa, mwanzo tulielezwa ni kwasababu ya matengenezo ambayo hayakufanyika kwa miaka mitano, maada ya muda mfupi tukaambiwa ni kwasababu ya mabwa kukauka wakati huo huo TANESCO wanasema hakuna mgao wa umeme baadae Tanesco wanatangaza mgao wa umeme.

Tuelezwe na Serikali kwasababu linaathiri sana watanzania. Taifa liko kwenye hali ngumu ya ukosefu wa umeme. Nini kinachosababisha hali hii ya katakata na mgao wa umeme?

Naibu Waziri(Nishati): Tanesco haikatikati umeme, hakuna mtu ambae ameajiriwa kwa ajili ya kukata umeme, mifumo ya umeme inarespond kutokana na mazingira iliyokuwa nayo na kikubwa kinachotokea, pale ambapo mitambo yetu inazidiwa na matumizi yenyewe automatically inakata umeme.

Tunachofanya ni kuhakikisha tunaongeza nguvu za mitambo.

Tulitarajia kwenye marekebisho ya mitambo yetu ya kufua gesi ambayo inazalisha sehemu kubwa zaidi, twende tukarekebishe kwenye mitambo ya gesi. Matarajio makubwa ya mgao ambayo tulidhani tutakuwa nayo hatutakuwa nayo.

Sababu tatu zilizopelekea kuahirishwa mgao mkali
  1. Kwa maelezo ya Rais, amesema mgao usiwe mkali, tukabaini tunaweza kuchepusha gesi baadhi ikapitia mitambo ya TPDC badala ya kampuni ya Paet
  2. Hali ya mabwawa imeanza kurejea katika hali nzuri
  3. Umeme ni supply and demand, kile ambacho tulitarajia kitahitajika sicho kinachohitajika, tutahakikisha watu wanaendelea kupata umeme.
Hakuna cha utafiti wala nini walikuwa wanatafuta tu attention ya wananchi ccm bhana
 
Sababu ya kwanza ni rais kasema. Hivi kweli tupo serious [emoji850][emoji850][emoji850][emoji849][emoji849][emoji848]
Hii nchi haihitaji watu serious. Ukiwa serious unakua adui wa chama.
 
Kwa hiyo sisi tuliokuwa tumejikoki tumeingia hasara! Maana nimenunua mabetri mapya ma3 ya simu na yote nimeyachaji juzi usiku.
hahahahahahahahahahahahahahahahaahhahahahahahhaahhhahahahhahhah...........
nimecheka sana mkuu duh..!
 
Na kila kitu lazima eti atajwe rais kuwa ndio amesema!!ina maana wao kama wao hawawezi, kutafuta namna!hadi rais ndio atoe maelekezo!!
Kuna mda sioni umhimu wa mawaziri maana naona kama wanapwaya sana had rais aingilie kati

Kuna mda nahis ni mbinu tu za kumbrand kwa wananchi ili ionekane rais anajar sana wananchi

Kuna mda nahis wanatafta attentions yetu

Kuna mda nahis kuna kakikund kanatafta umaarufu kwa nguvu
 
Kuna mda sioni umhimu wa mawaziri maana naona kama wanapwaya sana had rais aingilie kati

Kuna mda nahis ni mbinu tu za kumbrand kwa wananchi ili ionekane rais anajar sana wananchi

Kuna mda nahis wanatafta attentions yetu

Kuna mda nahis kuna kakikund kanatafta umaarufu kwa nguvu
Ni UCHAWA tu!!juzi zilipofunguliwa chaneli za Tz, waziri anasema eti mama yetu ndio ameniagiza!!ina maana bila yeye kusema hakuna kinachoweza kufanyika?!!
Pesa zikipelekwa sehemu eti pesa kazitoa mama!!na haya yalianza toka awamu ya 5!!!
 
Ni UCHAWA tu!!juzi zilipofunguliwa chaneli za Tz, waziri anasema eti mama yetu ndio ameniagiza!!ina maana bila yeye kusema hakuna kinachoweza kufanyika?!!
Pesa zikipelekwa sehemu eti pesa kazitoa mama!!na haya yalianza toka awamu ya 5!!!
Yan sahv sio serikali tena bali nchinimekuwa chin ya mtu mmoja
 
Akiwa bungeni, Naibu waziri wa Nishati, Stephen Byabato ametangaza kusitisha mgao uliotangazwa awali kwa madai kwamba hauhitajiki baada ya kufanya utafiti huku wakiwa wamepokea maelekezo kutoka kwa Rais Samia kwamba mgao usiwe mkali kama ilivyotangazwa.

Kupungua kwa matumizi ya umeme, mvua zinazoendelea na kutumia mitambo ya TPDC kwenye gesi vimetajwa kama sababu ya kuuhairisha.

=========

Mbunge: Katakata ya umeme inayoendelea na mgao wa umeme unaoendelea hivi sasa, mwanzo tulielezwa ni kwasababu ya matengenezo ambayo hayakufanyika kwa miaka mitano, maada ya muda mfupi tukaambiwa ni kwasababu ya mabwa kukauka wakati huo huo TANESCO wanasema hakuna mgao wa umeme baadae Tanesco wanatangaza mgao wa umeme.

Tuelezwe na Serikali kwasababu linaathiri sana watanzania. Taifa liko kwenye hali ngumu ya ukosefu wa umeme. Nini kinachosababisha hali hii ya katakata na mgao wa umeme?

Naibu Waziri(Nishati): Tanesco haikatikati umeme, hakuna mtu ambae ameajiriwa kwa ajili ya kukata umeme, mifumo ya umeme inarespond kutokana na mazingira iliyokuwa nayo na kikubwa kinachotokea, pale ambapo mitambo yetu inazidiwa na matumizi yenyewe automatically inakata umeme.

Tunachofanya ni kuhakikisha tunaongeza nguvu za mitambo.

Tulitarajia kwenye marekebisho ya mitambo yetu ya kufua gesi ambayo inazalisha sehemu kubwa zaidi, twende tukarekebishe kwenye mitambo ya gesi. Matarajio makubwa ya mgao ambayo tulidhani tutakuwa nayo hatutakuwa nayo.

Sababu tatu zilizopelekea kuahirishwa mgao mkali
  1. Kwa maelezo ya Rais, amesema mgao usiwe mkali, tukabaini tunaweza kuchepusha gesi baadhi ikapitia mitambo ya TPDC badala ya kampuni ya Paet
  2. Hali ya mabwawa imeanza kurejea katika hali nzuri
  3. Umeme ni supply and demand, kile ambacho tulitarajia kitahitajika sicho kinachohitajika, tutahakikisha watu wanaendelea kupata umeme.

Ina maana matengenezo na ukarabati wa vinu vya gas umekamilika baada ya Rais kusema?

Kwanini tusiseme Rais na serikali wanatengeneza matatizo kisha wana yatatua halafu wanajisifu kwa kusema mama oooh Rais kasema?

Si walisema miaka mitano hakukuwa na ukarabati na mitambo inge collapse? Ina maana baada ya Rais kusema hakuna kukata umeme basi mitambo haito collapse hahahahaha

Ni wazi Serikali ina kata umeme kusudi ili baadae waje kusema Rais kasema na katatua! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
CCM ni chama chenye watu wa ajabu sana na ni kama mkosi kwa watanzania kuongozwa na chama cha aina hii.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baada ya kugundua watanzania nio xkama wa enzi za 2010
 
Akiwa bungeni, Naibu waziri wa Nishati, Stephen Byabato ametangaza kusitisha mgao uliotangazwa awali kwa madai kwamba hauhitajiki baada ya kufanya utafiti huku wakiwa wamepokea maelekezo kutoka kwa Rais Samia kwamba mgao usiwe mkali kama ilivyotangazwa.

Kupungua kwa matumizi ya umeme, mvua zinazoendelea na kutumia mitambo ya TPDC kwenye gesi vimetajwa kama sababu ya kuuhairisha.

=========

Mbunge: Katakata ya umeme inayoendelea na mgao wa umeme unaoendelea hivi sasa, mwanzo tulielezwa ni kwasababu ya matengenezo ambayo hayakufanyika kwa miaka mitano, maada ya muda mfupi tukaambiwa ni kwasababu ya mabwa kukauka wakati huo huo TANESCO wanasema hakuna mgao wa umeme baadae Tanesco wanatangaza mgao wa umeme.

Tuelezwe na Serikali kwasababu linaathiri sana watanzania. Taifa liko kwenye hali ngumu ya ukosefu wa umeme. Nini kinachosababisha hali hii ya katakata na mgao wa umeme?

Naibu Waziri(Nishati): Tanesco haikatikati umeme, hakuna mtu ambae ameajiriwa kwa ajili ya kukata umeme, mifumo ya umeme inarespond kutokana na mazingira iliyokuwa nayo na kikubwa kinachotokea, pale ambapo mitambo yetu inazidiwa na matumizi yenyewe automatically inakata umeme.

Tunachofanya ni kuhakikisha tunaongeza nguvu za mitambo.

Tulitarajia kwenye marekebisho ya mitambo yetu ya kufua gesi ambayo inazalisha sehemu kubwa zaidi, twende tukarekebishe kwenye mitambo ya gesi. Matarajio makubwa ya mgao ambayo tulidhani tutakuwa nayo hatutakuwa nayo.

Sababu tatu zilizopelekea kuahirishwa mgao mkali
  1. Kwa maelezo ya Rais, amesema mgao usiwe mkali, tukabaini tunaweza kuchepusha gesi baadhi ikapitia mitambo ya TPDC badala ya kampuni ya Paet
  2. Hali ya mabwawa imeanza kurejea katika hali nzuri
  3. Umeme ni supply and demand, kile ambacho tulitarajia kitahitajika sicho kinachohitajika, tutahakikisha watu wanaendelea kupata umeme.
Wasituchanganye mbona haupo toka saa asubuhi
 
Bw. February kasemwa sana kiasi kwamba inabidi apunguze kasi ya kuwakumbatia wenye biashara zao

Tulishawaambia humu kuwa January na genge lake wana pupa ya wizi tu !! Sasa ilikuwaje wakataka kuleta huo mgao bila kufanya utafiti? Hawa ni wababaishaji tu na wanamzunguka Samia ili wapate kupiga!!!
 
Kwa hiyo sisi tuliokuwa tumejikoki tumeingia hasara! Maana nimenunua mabetri mapya ma3 ya simu na yote nimeyachaji juzi usiku.
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom