Mgawo wa Umeme wasitishwa, utafiti mpya umeona hauhitajiki kama awali

Mgawo wa Umeme wasitishwa, utafiti mpya umeona hauhitajiki kama awali

Mgao upo, maeneo ya Mbezi beach umeme hakuna tangu saa 1 asubuhi
Hamjanunua LUKU katika Majumba yenu hayo ya Urithi mnakimbilia kusema mmekatiwa Umeme wakati sehemu kubwa ya Mbezi Beach tokea Kunakuchwa hadi muda huu Umeme upo. Acheni Uwongo na Uzushi.
 
Akiwa bungeni, Naibu waziri wa Nishati, Byabato ametangaza kusitisha mgao uliotangazwa awali kwa madai kwamba hauhitajiki baada ya kufanya utafiti huku wakiwa wamepokea maelekezo kutoka kwa Rais Samia kwamba mgao usiwe mkali kama ilivyotangazwa.

Kupungua kwa matumizi ya umeme, mvua zinazoendelea na kutumia mitambo ya TPDC kwenye gesi vimetajwa kama sababu ya kuuhairisha.

=========

Mbunge: Katakata ya umeme inayoendelea na mgao wa umeme unaoendelea hivi sasa, mwanzo tulielezwa ni kwasababu ya matengenezo ambayo hayakufanyika kwa miaka mitano, maada ya muda mfupi tukaambiwa ni kwasababu ya mabwa kukauka wakati huo huo TANESCO wanasema hakuna mgao wa umeme baadae Tanesco wanatangaza mgao wa umeme.

Tuelezwe na Serikali kwasababu linaathiri sana watanzania. Taifa liko kwenye hali ngumu ya ukosefu wa umeme. Nini kinachosababisha hali hii ya katakata na mgao wa umeme?

Naibu Waziri(Nishati): Tanesco haikatikati umeme, hakuna mtu ambae ameajiriwa kwa ajili ya kukata umeme, mifumo ya umeme inarespond kutokana na mazingira iliyokuwa nayo na kikubwa kinachotokea, pale ambapo mitambo yetu inazidiwa na matumizi yenyewe automatically inakata umeme.

Tunachofanya ni kuhakikisha tunaongeza nguvu za mitambo.

Tulitarajia kwenye marekebisho ya mitambo yetu ya kufua gesi ambayo inazalisha sehemu kubwa zaidi, twende tukarekebishe kwenye mitambo ya gesi. Matarajio makubwa ya mgao ambayo tulidhani tutakuwa nayo hatutakuwa nayo.

Sababu tatu zilizopelekea kuahirishwa mgao mkali
  1. Kwa maelezo ya Rais, amesema mgao usiwe mkali, tukabaini tunaweza kuchepusha gesi baadhi ikapitia mitambo ya TPDC badala ya kampuni ya Paet
  2. Hali ya mabwawa imeanza kurejea katika hali nzuri
  3. Umeme ni supply and demand, kile ambacho tulitarajia kitahitajika sicho kinachohitajika, tutahakikisha watu wanaendelea kupata umeme.
Walisema mgao ni kwa ajili ya matengenezo. Sasa hali ya mabwawa inakujaje tena? Hii nchi ni kichwa cha mwendawazimu. Yaani ni mtu akiamka anajiropokea tu.
 
Wewe ni robot? Watu walipolalamika kuhusu umeme wa mgao ulisema ni lazima uwepo ili maintenance ifanyike.
Leo imeletwa taarifa kuwa mama Samia kaingilia Kati, unapongeza na kuona hakuna haja ya mgao.
Haoni haja ya matengenezo ndugu roboti😂😂😂
 
Sababu tatu zilizopelekea kuahirishwa mgao mkali
  1. Kwa maelezo ya Rais, amesema mgao usiwe mkali, tukabaini tunaweza kuchepusha gesi baadhi ikapitia mitambo ya TPDC badala ya kampuni ya Paet
  2. Hali ya mabwawa imeanza kurejea katika hali nzuri
  3. Umeme ni supply and demand, kile ambacho tulitarajia kitahitajika sicho kinachohitajika, tutahakikisha watu wanaendelea kupata umeme
Yaani mpaka Rais aseme! Kwa hiyo Tanesco hakuna wataalamu wa kushauri nini cha kufanya ...! Hii ni hatari.
 
Mbezi ya Kimara tangu j3 wanakata saa mbili asubuhi wanarudisha saa 6 usiku, huu utafiti wameufanya saa ngapi? Kwa maana hata leo pia wamekata kuanzia saa 2 asubuhi
Wachagga na Wapare jitahidini mjigawe Kuishi hayo Maeneo kwani hata kukitokea matatizo tu ya Umeme mkiwaita Tanesco hamuwapi hata Asante tu ya Tsh 5,000/ au Tsh 10,000/ kutokana na Ubahili wenu wa Asili na kujifanya nyie ndiyo Watanzania pekee mnaoijua Hela ila wengine hawaijui. Na hapo bado Kudadadeki.....!!!
 
Wewe ni robot? Watu walipolalamika kuhusu umeme wa mgao ulisema ni lazima uwepo ili maintenance ifanyike.
Leo imeletwa taarifa kuwa mama Samia kaingilia Kati, unapongeza na kuona hakuna haja ya mgao.
Hapana mkuu, utakuwa umesoma comment ya mtu mwingine.
 
Massive U-turn!!
Akiwa bungeni, Naibu waziri wa Nishati, Stephen Byabato ametangaza kusitisha mgao uliotangazwa awali kwa madai kwamba hauhitajiki baada ya kufanya utafiti huku wakiwa wamepokea maelekezo kutoka kwa Rais Samia kwamba mgao usiwe mkali kama ilivyotangazwa.

Kupungua kwa matumizi ya umeme, mvua zinazoendelea na kutumia mitambo ya TPDC kwenye gesi vimetajwa kama sababu ya kuuhairisha.

=========

Mbunge: Katakata ya umeme inayoendelea na mgao wa umeme unaoendelea hivi sasa, mwanzo tulielezwa ni kwasababu ya matengenezo ambayo hayakufanyika kwa miaka mitano, maada ya muda mfupi tukaambiwa ni kwasababu ya mabwa kukauka wakati huo huo TANESCO wanasema hakuna mgao wa umeme baadae Tanesco wanatangaza mgao wa umeme.

Tuelezwe na Serikali kwasababu linaathiri sana watanzania. Taifa liko kwenye hali ngumu ya ukosefu wa umeme. Nini kinachosababisha hali hii ya katakata na mgao wa umeme?

Naibu Waziri(Nishati): Tanesco haikatikati umeme, hakuna mtu ambae ameajiriwa kwa ajili ya kukata umeme, mifumo ya umeme inarespond kutokana na mazingira iliyokuwa nayo na kikubwa kinachotokea, pale ambapo mitambo yetu inazidiwa na matumizi yenyewe automatically inakata umeme.

Tunachofanya ni kuhakikisha tunaongeza nguvu za mitambo.

Tulitarajia kwenye marekebisho ya mitambo yetu ya kufua gesi ambayo inazalisha sehemu kubwa zaidi, twende tukarekebishe kwenye mitambo ya gesi. Matarajio makubwa ya mgao ambayo tulidhani tutakuwa nayo hatutakuwa nayo.

Sababu tatu zilizopelekea kuahirishwa mgao mkali
  1. Kwa maelezo ya Rais, amesema mgao usiwe mkali, tukabaini tunaweza kuchepusha gesi baadhi ikapitia mitambo ya TPDC badala ya kampuni ya Paet
  2. Hali ya mabwawa imeanza kurejea katika hali nzuri
  3. Umeme ni supply and demand, kile ambacho tulitarajia kitahitajika sicho kinachohitajika, tutahakikisha watu wanaendelea kupata umeme.

IMG_20211029_105959.jpg
 
Hahahaha kwa hiyo sio matengenezo ya uharibifu yaliyofanywa na mwendazake bali ni maji ya Bwawa hahahaha. Hakika kwenye hii wizara kuna uongo mwingi sana hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Utafiti umefanyika? When and where? Jamani, kwanini waziri anakuwa muongo, utafiti ni kitu kikubwa na ni open. 😪
 
Hamjanunua LUKU katika Majumba yenu hayo ya Urithi mnakimbilia kusema mmekatiwa Umeme wakati sehemu kubwa ya Mbezi Beach tokea Kunakuchwa hadi muda huu Umeme upo. Acheni Uwongo na Uzushi.
Huku chini maeneo ya BOT Flats mpaka kuvuka daraja hakuna umeme kuanzia saa moja asubuhi.
 
Kwahiyo raisi asingesema utafiti usingejulikana. Nchi ina mambo hii[emoji23]
 
Toka asubuhi saa 1 hatuna Umeme.. asanteni tena kwa matamko yakisiasa
 
Sababu ya kwanza ni rais kasema. Hivi kweli tupo serious [emoji850][emoji850][emoji850][emoji849][emoji849][emoji848]
 
Tuna mawaziri wa hovyo sana kuwahi kutokea nchini.

Hivi N/waziri mzima unasimama mbele ya bunge tukufu nakuongea upupu huo kweli.

Eti sababu ya kwanza ni rais samia kasema, kwani siku hizi samia amekuwa mitambo ya kufua umeme kiasi kwamba akisema tu vitambo yote iliyosemwa kukarabatiwa inapona?

Narudia tena, hii nchi tuna viongozi wa hovyo sana kuwahi kutokea.
 
Akiwa bungeni, Naibu waziri wa Nishati, Stephen Byabato ametangaza kusitisha mgao uliotangazwa awali kwa madai kwamba hauhitajiki baada ya kufanya utafiti huku wakiwa wamepokea maelekezo kutoka kwa Rais Samia kwamba mgao usiwe mkali kama ilivyotangazwa.

Kupungua kwa matumizi ya umeme, mvua zinazoendelea na kutumia mitambo ya TPDC kwenye gesi vimetajwa kama sababu ya kuuhairisha.

=========

Mbunge: Katakata ya umeme inayoendelea na mgao wa umeme unaoendelea hivi sasa, mwanzo tulielezwa ni kwasababu ya matengenezo ambayo hayakufanyika kwa miaka mitano, maada ya muda mfupi tukaambiwa ni kwasababu ya mabwa kukauka wakati huo huo TANESCO wanasema hakuna mgao wa umeme baadae Tanesco wanatangaza mgao wa umeme.

Tuelezwe na Serikali kwasababu linaathiri sana watanzania. Taifa liko kwenye hali ngumu ya ukosefu wa umeme. Nini kinachosababisha hali hii ya katakata na mgao wa umeme?

Naibu Waziri(Nishati): Tanesco haikatikati umeme, hakuna mtu ambae ameajiriwa kwa ajili ya kukata umeme, mifumo ya umeme inarespond kutokana na mazingira iliyokuwa nayo na kikubwa kinachotokea, pale ambapo mitambo yetu inazidiwa na matumizi yenyewe automatically inakata umeme.

Tunachofanya ni kuhakikisha tunaongeza nguvu za mitambo.

Tulitarajia kwenye marekebisho ya mitambo yetu ya kufua gesi ambayo inazalisha sehemu kubwa zaidi, twende tukarekebishe kwenye mitambo ya gesi. Matarajio makubwa ya mgao ambayo tulidhani tutakuwa nayo hatutakuwa nayo.

Sababu tatu zilizopelekea kuahirishwa mgao mkali
  1. Kwa maelezo ya Rais, amesema mgao usiwe mkali, tukabaini tunaweza kuchepusha gesi baadhi ikapitia mitambo ya TPDC badala ya kampuni ya Paet
  2. Hali ya mabwawa imeanza kurejea katika hali nzuri
  3. Umeme ni supply and demand, kile ambacho tulitarajia kitahitajika sicho kinachohitajika, tutahakikisha watu wanaendelea kupata umeme.
Ina Maana wakati wa Magufuli Tanesco umeme ulikuwa hau respond na hawafanyi marekebisho.Sasa Maagizo ya Samia yanatengeneza umeme .Hili la kukata umeme nadhani Prezidaa kaona halijakaa sawa wananchi hawamuelewi pia linamvurugia kwa Wananchi.Makamba wizara ya jinsia na watoto au michezo na utamaduni ingemfaa sio Madini.
 
Back
Top Bottom