Mgawo wa Umeme wasitishwa, utafiti mpya umeona hauhitajiki kama awali

Mgawo wa Umeme wasitishwa, utafiti mpya umeona hauhitajiki kama awali

Akiwa bungeni, Naibu waziri wa Nishati, Byabato ametangaza kusitisha mgao uliotangazwa awali kwa madai kwamba hauhitajiki baada ya kufanya utafiti huku wakiwa wamepokea maelekezo kutoka kwa Rais Samia kwamba mgao usiwe mkali kama ilivyotangazwa.

Si walisema ni matengenezo?

Sasa imekuwaje tena?. Walipochepusha ndo ikajitengenezo hiyo mitambo?
 
Leo mpaka Unguja mgao umehathiri saloon yangu hapa Utapoa daa, jirani yangu juice imedoda ahahaaaa...
 
Akiwa bungeni, Naibu waziri wa Nishati, Byabato ametangaza kusitisha mgao uliotangazwa awali kwa madai kwamba hauhitajiki baada ya kufanya utafiti huku wakiwa wamepokea maelekezo kutoka kwa Rais Samia kwamba mgao usiwe mkali kama ilivyotangazwa.

Kupungua kwa matumizi ya umeme, mvua zinazoendelea na kutumia mitambo ya TPDC kwenye gesi vimetajwa kama sababu ya kuuhairisha.

=========
Hii nchi bure kabisa...., Kwahio mgao sio kwamba hakuna jinsi (yaani last option) ni kwamba ni uamuzi wa mtu kuamua makali yake yanakuwaje (yaani anaagiza uwe mkali kidogo) Kwanini asiagize usiwepo kabisa ?

Na hapo Makamba anafanya nini, Kwanini hizo njia zinazotumika sasa zisingetumika kuanzia miezi kadhaa iliyopita ? Kwahio bila kupokea maelekezo wenyewe wangekata tu....
 
Sisi leo wametoa ratiba ngoma inakata kianzia saa 2:00 mpaka saa 6 usiku na wamekara hapa hatuna umeme ni upuuzi huu
 
Akiwa bungeni, Naibu waziri wa Nishati, Byabato ametangaza kusitisha mgao uliotangazwa awali kwa madai kwamba hauhitajiki baada ya kufanya utafiti huku wakiwa wamepokea maelekezo kutoka kwa Rais Samia kwamba mgao usiwe mkali kama ilivyotangazwa.

Kupungua kwa matumizi ya umeme, mvua zinazoendelea na kutumia mitambo ya TPDC kwenye gesi vimetajwa kama sababu ya kuuhairisha.

=========

Mbunge: Katakata ya umeme inayoendelea na mgao wa umeme unaoendelea hivi sasa, mwanzo tulielezwa ni kwasababu ya matengenezo ambayo hayakufanyika kwa miaka mitano, maada ya muda mfupi tukaambiwa ni kwasababu ya mabwa kukauka wakati huo huo TANESCO wanasema hakuna mgao wa umeme baadae Tanesco wanatangaza mgao wa umeme.

Tuelezwe na Serikali kwasababu linaathiri sana watanzania. Taifa liko kwenye hali ngumu ya ukosefu wa umeme. Nini kinachosababisha hali hii ya katakata na mgao wa umeme?

Naibu Waziri(Nishati): Tanesco haikatikati umeme, hakuna mtu ambae ameajiriwa kwa ajili ya kukata umeme, mifumo ya umeme inarespond kutokana na mazingira iliyokuwa nayo na kikubwa kinachotokea, pale ambapo mitambo yetu inazidiwa na matumizi yenyewe automatically inakata umeme.

Tunachofanya ni kuhakikisha tunaongeza nguvu za mitambo.

Tulitarajia kwenye marekebisho ya mitambo yetu ya kufua gesi ambayo inazalisha sehemu kubwa zaidi, twende tukarekebishe kwenye mitambo ya gesi. Matarajio makubwa ya mgao ambayo tulidhani tutakuwa nayo hatutakuwa nayo.

Sababu tatu zilizopelekea kuahirishwa mgao mkali
  1. Kwa maelezo ya Rais, amesema mgao usiwe mkali, tukabaini tunaweza kuchepusha gesi baadhi ikapitia mitambo ya TPDC badala ya kampuni ya Paet
  2. Hali ya mabwawa imeanza kurejea katika hali nzuri
  3. Umeme ni supply and demand, kile ambacho tulitarajia kitahitajika sicho kinachohitajika, tutahakikisha watu wanaendelea kupata umeme.
DRAMA nyingi sana. Mpaka Rais aseme ndo mawaziri wabadilike na kutosumbua raia.
 
Akiwa bungeni, Naibu waziri wa Nishati, Byabato ametangaza kusitisha mgao uliotangazwa awali kwa madai kwamba hauhitajiki baada ya kufanya
Inabidi kuwe na mawasiliano kati ya serikali na watendaji wake. Inakuaje mtendaji atoe tamko halafu serikaki ibatilishe. Ina maana kila mtu anafanya kazi kivyake. Kuwe na mawasikiano.
 
Back
Top Bottom