Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Chupli chupli😂😂😂😂😂Kwa sasa hii nchi ni chupli chupli tu! Deal limesanuka wakaona ngoja tu tulize kidogo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chupli chupli😂😂😂😂😂Kwa sasa hii nchi ni chupli chupli tu! Deal limesanuka wakaona ngoja tu tulize kidogo!
Mpumbavu yule kiparaBw. February kasemwa sana kiasi kwamba inabidi apunguze kasi ya kuwakumbatia wenye biashara zao
Akiwa bungeni, Naibu waziri wa Nishati, Byabato ametangaza kusitisha mgao uliotangazwa awali kwa madai kwamba hauhitajiki baada ya kufanya utafiti huku wakiwa wamepokea maelekezo kutoka kwa Rais Samia kwamba mgao usiwe mkali kama ilivyotangazwa.
Hii nchi bure kabisa...., Kwahio mgao sio kwamba hakuna jinsi (yaani last option) ni kwamba ni uamuzi wa mtu kuamua makali yake yanakuwaje (yaani anaagiza uwe mkali kidogo) Kwanini asiagize usiwepo kabisa ?Akiwa bungeni, Naibu waziri wa Nishati, Byabato ametangaza kusitisha mgao uliotangazwa awali kwa madai kwamba hauhitajiki baada ya kufanya utafiti huku wakiwa wamepokea maelekezo kutoka kwa Rais Samia kwamba mgao usiwe mkali kama ilivyotangazwa.
Kupungua kwa matumizi ya umeme, mvua zinazoendelea na kutumia mitambo ya TPDC kwenye gesi vimetajwa kama sababu ya kuuhairisha.
=========
Touché!Mgao upo, maeneo ya Mbezi beach umeme hakuna tangu saa 1 asubuhi
Huyu huyu ushungi? Hana hata habari kama kulitolewa ratiba ya mgao wa umeme!Safi Mama Samia...Tanesco wasimamiwe vizuri.
Wanabadilisha nguzo,Mgao upo, maeneo ya Mbezi beach umeme hakuna tangu saa 1 asubuhi
Android za kuchomoa betri raha sana maana sisi wa IPhone sijui tunacomment wapi hata!Kwa hiyo sisi tuliokuwa tumejikoki tumeingia hasara! Maana nimenunua mabetri mapya ma3 ya simu na yote nimeyachaji juzi usiku.
Hizi sifa za kipuuzi kabisa.Safi Mama Samia...Tanesco wasimamiwe vizuri.
DRAMA nyingi sana. Mpaka Rais aseme ndo mawaziri wabadilike na kutosumbua raia.Akiwa bungeni, Naibu waziri wa Nishati, Byabato ametangaza kusitisha mgao uliotangazwa awali kwa madai kwamba hauhitajiki baada ya kufanya utafiti huku wakiwa wamepokea maelekezo kutoka kwa Rais Samia kwamba mgao usiwe mkali kama ilivyotangazwa.
Kupungua kwa matumizi ya umeme, mvua zinazoendelea na kutumia mitambo ya TPDC kwenye gesi vimetajwa kama sababu ya kuuhairisha.
=========
Mbunge: Katakata ya umeme inayoendelea na mgao wa umeme unaoendelea hivi sasa, mwanzo tulielezwa ni kwasababu ya matengenezo ambayo hayakufanyika kwa miaka mitano, maada ya muda mfupi tukaambiwa ni kwasababu ya mabwa kukauka wakati huo huo TANESCO wanasema hakuna mgao wa umeme baadae Tanesco wanatangaza mgao wa umeme.
Tuelezwe na Serikali kwasababu linaathiri sana watanzania. Taifa liko kwenye hali ngumu ya ukosefu wa umeme. Nini kinachosababisha hali hii ya katakata na mgao wa umeme?
Naibu Waziri(Nishati): Tanesco haikatikati umeme, hakuna mtu ambae ameajiriwa kwa ajili ya kukata umeme, mifumo ya umeme inarespond kutokana na mazingira iliyokuwa nayo na kikubwa kinachotokea, pale ambapo mitambo yetu inazidiwa na matumizi yenyewe automatically inakata umeme.
Tunachofanya ni kuhakikisha tunaongeza nguvu za mitambo.
Tulitarajia kwenye marekebisho ya mitambo yetu ya kufua gesi ambayo inazalisha sehemu kubwa zaidi, twende tukarekebishe kwenye mitambo ya gesi. Matarajio makubwa ya mgao ambayo tulidhani tutakuwa nayo hatutakuwa nayo.
Sababu tatu zilizopelekea kuahirishwa mgao mkali
- Kwa maelezo ya Rais, amesema mgao usiwe mkali, tukabaini tunaweza kuchepusha gesi baadhi ikapitia mitambo ya TPDC badala ya kampuni ya Paet
- Hali ya mabwawa imeanza kurejea katika hali nzuri
- Umeme ni supply and demand, kile ambacho tulitarajia kitahitajika sicho kinachohitajika, tutahakikisha watu wanaendelea kupata umeme.
Inabidi kuwe na mawasiliano kati ya serikali na watendaji wake. Inakuaje mtendaji atoe tamko halafu serikaki ibatilishe. Ina maana kila mtu anafanya kazi kivyake. Kuwe na mawasikiano.Akiwa bungeni, Naibu waziri wa Nishati, Byabato ametangaza kusitisha mgao uliotangazwa awali kwa madai kwamba hauhitajiki baada ya kufanya
😂😂😂mbona hii nchi haieleweki ipo shaghala baghala,naungana na yule mdau aliyesema tukodi wazungu waje watuendeshee hili taifa mpaka pale tutakapojiweza.
Wewe ni robot? Watu walipolalamika kuhusu umeme wa mgao ulisema ni lazima uwepo ili maintenance ifanyike.Safi Mama Samia...Tanesco wasimamiwe vizuri.