SIRIES ZILIZOTAFSRIWA NA DJ MURPHYHabari za muda Huu wakuu poleni Na shida zote mnazokumbana nazo katika kutafuta Mkate wa kila Siku bila kuchelewa niende kwenye Mada Husika...!
Zamani ilikuwa Mgeni akija Nyumbani kwako Unampa/Atakuomba albamu ya picha lakini sasa hivi Mgeni akija Nyumbani cha kwanza atakuomba/ ataulizia Chaji ya Simu wageni wangu wa karne hii Ni Chaji ya simu Je, wewe Mgeni akija kwako kitu gani cha kwanza atakuomba.?
Zile nyimbo za ccm za kampein ," wacha waseme chama cha mapindizi kina wenyweeee" in komba's voice ,na mtaisoma namba.....Habari za muda Huu wakuu poleni Na shida zote mnazokumbana nazo katika kutafuta Mkate wa kila Siku bila kuchelewa niende kwenye Mada Husika...!
Zamani ilikuwa Mgeni akija Nyumbani kwako Unampa/Atakuomba albamu ya picha lakini sasa hivi Mgeni akija Nyumbani cha kwanza atakuomba/ ataulizia Chaji ya Simu wageni wangu wa karne hii Ni Chaji ya simu Je, wewe Mgeni akija kwako kitu gani cha kwanza atakuomba.?
Jeshi la wafu ndo lipi hilo? Nifafanulie broUnaenda Gesti alafu unakutana na Jeshi la Wafu sijui kifuatacho ITV
Unaniua we mtoto[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tusiotembelewa na wageni comment zetu zinakaa wapi?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unaniua we mtoto[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Balaa tupu, hapo achana na simu zinazochemka sanaMi nikienda ugenini cha kwanza kuulizia ni socket nichaji simu.
PM🙁Tusiotembelewa na wageni comment zetu zinakaa wapi?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndo wapi huko mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Private messageNdo wapi huko mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Oooohhh sawaPrivate message