Mgeni humu, natokea zangu FB

Mgeni humu, natokea zangu FB

nidhamu ya uoga hiyo, shikamoo itakusaidia nini humu, ukukiziitaji sema tu hata 100 kwa pupa
Tatizo Usipo Wabana Mapema Baadae Wakisha Zoea Hata Shikamoo hawakupi! Hivyo Acha Tu Tumchukue Maelezo Kwanza Au Ndugu Mjumbe Unasemaje Juu Ya Hilo?
 
Upepo Wa Kisulisuli Umetuletea Hadi Watu Kutoka Facebook Dah!!. Hii Sasa Haiko Sawa.
 
napita tu hapa, fb fresh sana kule hakuna mtu kujikweza mara nataka shikamoo mara mimi haitumii mihadarati wewe acha, kule hamna kitu mbofumbofu kama hii
Upepo Wa Kisulisuli Umetuletea Hadi Watu Kutoka Facebook Dah!!. Hii Sasa Haiko Sawa.
 
Tatizo Usipo Wabana Mapema Baadae Wakisha Zoea Hata Shikamoo hawakupi! Hivyo Acha Tu Tumchukue Maelezo Kwanza Au Ndugu Mjumbe Unasemaje Juu Ya Hilo?
Nimejikuta tu naimba 'dunia haina huruma' Bwana mjumbe..!!
 
Nimejikuta tu naimba 'dunia haina huruma' Bwana mjumbe..!!
Mgeni Ameshaaga Kasema Anarudi Aliko Zoea Huku Tuna Maswali mengi pia Tunajikweza Tofauti Na Fb. Hivi Ndugu Mjumbe Maneno Ya Mgeni Ni Yakweli!
 
Mgeni Ameshaaga Kasema Anarudi Aliko Zoea Huku Tuna Maswali mengi pia Tunajikweza Tofauti Na Fb. Hivi Ndugu Mjumbe Maneno Ya Mgeni Ni Yakweli!
Haha..
Hivii wewe na joanah mmemfanya nini mgeni? Kuna tabia ambayo siyo poa mmemuonesha bila shaka..!!
 
Back
Top Bottom