Tranquility State
Senior Member
- Feb 14, 2018
- 121
- 96
Msaada wa maelekezo namna ya kutumia huu mtandao vizuri,itanisadia kuupenda au kuuchukia mtandao huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umefikia hatua ya kujiunga humu basi ujue ushaupenda huu mtandao. Unataka elimu kuhusu nini hasa?
Karibu jf
Weka picha tafadhali
Kwanza jina lako kamili, namba ya simu na anuani ya posta, mahali unapoishi, kazi unayo fanya, jinsia yako na bila kusahau picha yako.
Kutana na Nabii Tito kwa maerezo zaidi.
We sio mgeni sema umekuja na ID mpya.
Kama hadi ku quote unajua huwezi kuwa mgeni
Uko sahihi.We sio mgeni sema umekuja na ID mpya.
Kama hadi ku quote unajua huwezi kuwa mgeni
Naomba uje PMAlama ya quote inafahamika,mimi ni mgeni.
Aliekuleta , sisi siyo kazi yetu,Msaada wa maelekezo namna ya kutumia huu mtandao vizuri,itanisadia kuupenda au kuuchukia mtandao huu.
Ndio ni mhimu[emoji3] [emoji3]Je ni mhimu kuweka picha?