Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Mbona ghafla πππUwe makini sana maana watakufuata PM huko ndio wanakuja...
Matapeli wa mapenzi pia wapo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ghafla πππUwe makini sana maana watakufuata PM huko ndio wanakuja...
Matapeli wa mapenzi pia wapo...
πππππππππbasi mi hata jina sikuona aende hapohapoπ
π π π π π kachaneli , kuna jamaa yangu akijia nipo hapoo.. unasikia anasema ushaweka ka channel kakooo π€£π€£π€£.. kale ka channel masaa 24/7... wanajua wahuni wengi pale . kuna visa vingi sana nimekutana navyo kipindi naishi hapoTv zao washenz wale wanaweka hadi pornoπ
Eeeh basi ni hapohapo maaana niliekua naenda nae alikua akija ni either afikie namnani au hapo ππaaah! na weye mwanachamaaa nini wa hapoπ π π π
ukisoma majina ya vitu vyao vimeandikwa namnani, maana ni hotel za mtu mmoja.. na wakati mwingine unakuta zimeandikea Blue Bird π π
πππππdaah aende hapohapoπ π π π π kachaneli , kuna jamaa yangu akijia nipo hapoo.. unasikia anasema ushaweka ka channel kakooo π€£π€£π€£.. kale ka channel masaa 24/7... wanajua wahuni wengi pale . kuna visa vingi sana nimekutana navyo kipindi naishi hapo
π π π π huyo jamaa yako ni mwambaaaaEeeh basi ni hapohapo maaana niliekua naenda nae alikua akija ni either afikie namnani au hapo ππ
Sijaendapo muda mrefu sana
π π π sema TV zao zingine wabadirishe kuna vyumba vina smart TV zingine tv mbayaa.. wamekosa standard... ila hata mie sijaenda zaidi ya miezi kama mitatu hivi.. chaka konki sana lileπππππdaah aende hapohapo
Mi nina zaidi ya mwakaπ π π sema TV zao zingine wabadirishe kuna vyumba vina smart TV zingine tv mbayaa.. wamekosa standard... ila hata mie sijaenda zaidi ya miezi kama mitatu hivi.. chaka konki sana lile
π π π uende hata kupumzika tu mwenyewe...Mi nina zaidi ya mwaka
Hiyo hela ndo sina ππππ π π uende hata kupumzika tu mwenyewe...
π π π haya banaa.. kubadirisha mazingira ya kulala muhimu.. mala moja moja nzuri sio kila siku unalala chumba hicho hicho..Hiyo hela ndo sina πππ
It can never be me ππnina kauchagaπ π π haya banaa.. kubadirisha mazingira ya kulala muhimu.. mala moja moja nzuri sio kila siku unalala chumba hicho hicho..
π π π π jipe rahaaa maisha mafupi hayaa.. wakati mwingine sogea hata Verde unatulia zako weekend then unarudi DarIt can never be me ππnina kauchaga
Eeeh wee ulijuaje kuwa kuna porno...ulienta pata utamu hapo na mpenzio eeehTv zao washenz wale wanaweka hadi pornoπ
ππππππdah nilienda kufanya maombiEeeh wee ulijuaje kuwa kuna porno...ulienta pata utamu hapo na mpenzio eeeh
Mamdogo, kwani wewe huo muongozo huujui?Wanakuja kukupa muongozo
Hapana bamdogo me pia mgeniMamdogo, kwani wewe huo muongozo huujui?
Mbona huna kamba banaa?Hapana bamdogo me pia mgeni
πππππMbona huna kamba banaa?
Maombi ukawa unatoa ushuhuda kwa kutumia mic au sioππππππdah nilienda kufanya maombi