Mgeni kajaaa

Mgeni kajaaa

Mmmmmmmh huyu Mgeni Leo naona amekaribishwa sana kwakweli ngoja na Mimi niseme
Karibu mgeni
Mimi ndiye mpakwa mafuta
Wa Bwana Kwa issue ya kimaombezi fika hapa pls
 
Mmmmmmmh huyu Mgeni Leo naona amekaribishwa sana kwakweli ngoja na Mimi niseme
Karibu mgeni
Mimi ndiye mpakwa mafuta
Wa Bwana Kwa issue ya kimaombezi fika hapa pls
Hahaha asante
 
Habari wakuu.... Mim nguduyenu mgeni huku.[emoji120] [emoji120]
Kwa nini umejiunga September eleven?una uhusiano gani na tarehe hyo?tusikribishe watu bila kuwachunguza wengine sio wema kabis!karibu Queen B
 
Kwa nn wageni wa kike wanapokelewa kwa shangwe sana na wanapata likes nyingi kuliko wakiume ?
 
Karibia kundini mgeni wetu kwalolote litakalo kutatiza nime ku pm no.zangu usisite kunipigia
 
Back
Top Bottom