MGENI MIMI

MGENI MIMI

Unpaired

Senior Member
Joined
Aug 3, 2018
Posts
176
Reaction score
169
Salaam,
wakuu nimejikuta tu tayari nimejisajili humu yani kama chafya tu. Mnipe ushirikiano Mengi mtajifunza kutoka kwangu Mniheshimu nami nitawaheshimu. Ahsante
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa karibu tena mkuu.
Mamods hatujabadilika, ukizingua ni mwendo wa ban kwa kwenda mbele

Namaheshima yoote. ndo maana nataka nanyie mniheshimu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa karibu tena mkuu.
Mamods hatujabadilika, ukizingua ni mwendo wa ban kwa kwenda mbele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom