The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 701
- 1,522
Nawe pia ni mgeni Madam ?Oky bye
Yeah napenda jukwaa la siasa sana bila kusahau intelligence forum japo siku hizi hamna jipya ukilinganisha na miaka 6 nyumaKaribu sana ila ni nyuzi gani ulikua limited nazo mana umejiunga rasmi jana lakini mada zako unazo likes na kucheka au kuchangia ni zile zinazohusu serikali tu hasa hizi dhahama zinazoendelea kutokea mada nyingi za hivyo nakuona ndio zimekusukuma ujiunge rasmi ? Haya karibu bibie alafu umenikumbusha kitu hiyo Avatar yako yule mdada kule west gate ,pamoja na yote karibu.
Ni kweli kabisaWewe sio mgeni ni mwenyeji ambaye ulikua unaishia nje
Chunya
Hata mm nilikua mgeni Kwa miaka 10.Ni kweli kabisa
Hujaweka dini kama ni muislam aje achap inbox upate jiko 😃😄😄Mambo Samantha?
Naitwa Lucha sijaoa wala sina mchumba, na ni kijana mtulivu
Karibu sana jf
Karibu sana kama hujapata mwenyeji nipe hiyo nafasiMe naitwa Amina ni mgeni pia
Mimi ni muislamuHujaweka dini kama ni muislam aje achap inbox upate jiko 😃😄😄
Sasa huyo ni mwanakaka anaheshima zake kitaa anasifa zote kama zote .Mimi ni muislamu
Mim ni kataa ndoaSasa huyo ni mwanakaka anaheshima zake kitaa anasifa zote kama zote .
hakuna mtu single kwa maana lazima kuna yule ambaye anaiba naye ila huyu hajaoa hana mke na wewe ni muislam na yeye ni muislam ikawe heri
🤣🤣 unamsagia kunguni jamaa🤣🤣🤣 Sawa Active
AKA mfuasi wa drone drake , nadhani utakuwa unamfahamu 😁Mim ni kataa ndoa
Kumbee haya huyo mwanamama Samantha alikuvutia sana sio?Mnamo tareh 9 niliingia jamii forum kama kawaida yangu as a guest ila nilishangaa nalimitiwa kuendelea ku view thread , nilijua ni mtandao nkajaribubtena baadae ikawa hivo hivo ndo ikabidi tu nijiunge rasmi
Cc: njumu za
kosovo
Mwanamke hapaswi kukata ndoa ndoa ni barakaMim ni kataa ndoa
Konda wa bajaj nikiwemo.Siku ya jana na leo nahisi JF imeweka rekodi ya kupokea wageni wengi ndani ya muda mchache
Active naomba data tafadhali ili new members wote walipie viingilio
Mimi nitaongea tu na huyu Active najua hakitoharibika kitu 🤣🤣Konda wa bajaj nikiwemo.
Lady ammy ni nani yako?Me naitwa Amina ni mgeni pia