Samantha Lewthwaite
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 298
- 729
- Thread starter
-
- #161
ππMashallah ulale unono usiku mwema
AsanteKaribu pia
ππDah! Ngoja nichukue gobore langu faster ili niingie mbugani kuwinda. π
Nakuja chap kwa harakaπnjoo PM nikutembeze ktk viunga vya JF
Anaumwa nin jamanπ₯ΊKaribu sana Amina, kuna mwenzetu anaitwa dronedrake ni mgonjwa
Kwa sasa nafunga uzi kwa leo , utafunguliwa kesho asubuhi na mapema.ππ
Oky byeKwa sasa nafunga uzi kwa leo , utafunguliwa kesho asubuhi na mapema.
MLALE UNONO π
Anaeanzisha Nyuzi JamiiForums ni GENTAMYCINE tu pekee? Nyege zenu za kutaka 'Kuwekwa' haziwezi Kutulia hadi kila mara tu mnitaje 'Muwekaji' Mimi?Safi sana wewe basi wewe sio mgeni tena ni vile tu ulikuwa hauwezi kuchangia mawazo yako sasa now uko huru kuchangia kwenye nyuzi za GENTAMYCINE.
WELCOME TO THE HOME OF GREAT THINKERS
umelala usiku wa ma8 mchumbaNakuja chap kwa harakaπ
Karibu sana aminaMe naitwa Amina ni mgeni pia
Karibu sana uwe karibiu pia na pm yako....π€Έπ€ΈπΉπASante
NshakaribiaKaribu sana uwe karibiu pia na pm yako....π€Έπ€ΈπΉπ
Karibu sana jf jiskie mi ni wakoNimechelewa kuja jaman π€
Weee vin vin akeeee..Mambo my nimekumis ππ
Duh....Hello everyone my name is Samantha Lewthwaite am thrilled to join JamiiForums today,I was a guest almost 6 years back but I decided to join today after being limited to view thread AKhsante nawapenda sana
KaribuHello everyone my name is Samantha Lewthwaite am thrilled to join JamiiForums today,I was a guest almost 6 years back but I decided to join today after being limited to view thread AKhsante nawapenda sana
Karibu sana ila ni nyuzi gani ulikua limited nazo mana umejiunga rasmi jana lakini mada zako unazo likes na kucheka au kuchangia ni zile zinazohusu serikali tu hasa hizi dhahama zinazoendelea kutokea mada nyingi za hivyo nakuona ndio zimekusukuma ujiunge rasmi ? Haya karibu bibie alafu umenikumbusha kitu hiyo Avatar yako yule mdada kule west gate ,pamoja na yote karibu.Hello everyone my name is Samantha Lewthwaite am thrilled to join JamiiForums today,I was a guest almost 6 years back but I decided to join today after being limited to view thread AKhsante nawapenda sana