Samantha Lewthwaite
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 298
- 729
- Thread starter
- #81
Sawa kesho inshallahMgeni lala sasa upumzike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa kesho inshallahMgeni lala sasa upumzike
Mnachokitaka 😀Kupata nini?
Simjui kwanza though naonaga nyuzi zakeKwanini
Ilikuwa ni ndani ya muda gani 🥰Enhee ni kweli vo make Toka Niko skuli nilikuwa natumia hii platform kama guest baada ya kulimitiwa ku view post ikabidi nijiunge
6 years backIlikuwa ni ndani ya muda gani 🥰
🤣🤣🤣 Sawa ActiveUsijali, ngoja niingie kwenye id yangu ya kazi 😎
Sikuwahi kuwa na ID nilikuwa kama mgeni about 6 years back juzi ndo nikalimitiwa ku view post ikabidi nijiunge rasmi
Mgeni mwenyeji huyu , anamiaka sita ya uguests
Salamu tuMnachokitaka 😀
🤣🤣 inabidi alete data , wakilipa viingilio hawa na sisi tutapata hata 50k za vocha maana walikuwa wengi sanaSasa ndio umuite mkuu 😂
Sawa white widow i dont buy itSikuwahi kuwa na ID nilikuwa kama mgeni about 6 years back juzi ndo nikalimitiwa ku view post ikabidi nijiunge rasmi
Mambo my nimekumis 😎😎😂😂😂Furaha ni muhimu
AKhsanteKaribu.
Hello everyone my name is Samantha Lewthwaite am thrilled to join JamiiForums today
AKhsante nawapenda sana
Safi sana wewe basi wewe sio mgeni tena ni vile tu ulikuwa hauwezi kuchangia mawazo yako sasa now uko huru kuchangia kwenye nyuzi za GENTAMYCINE.Yeah nawajua wote even even genta nasomaga nyuzi zake sana somebody pascal mayala, mgeni W jiji, nyani ngabu wote najajua